getrusa
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 2,150
- 1,812
Ahsante kwa Mleta uzi..
Jambo jingine jema ulilofanya umesaidia watu wale wenye ID za Majina bandia kujitambulisha vema kwa namba zao za simu..
Kwenye hizo nakala picha za jumbe kwenye simu natumai
75% hizo ndio namba zao za mawasiliano hivyo wale wa kejeli na matusi ya mitandaoni ni rahisi sana kuwapata sasa.
Jambo jingine jema ulilofanya umesaidia watu wale wenye ID za Majina bandia kujitambulisha vema kwa namba zao za simu..
Kwenye hizo nakala picha za jumbe kwenye simu natumai
75% hizo ndio namba zao za mawasiliano hivyo wale wa kejeli na matusi ya mitandaoni ni rahisi sana kuwapata sasa.