Sagungu 1914
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 932
- 579
Kwa hiyo TCRA huo utapeli hawauoni?au akili zao na macho ziko kwa wale wote wanaokosoa wakubwa wao tu?
duu mkuu kumbe wengi wanatumiwa hii kitu,matapeli hao mkuuWakuu ni kama Mara 3 hivi napokea meseji kwenye simu yangu inayoelezea masuala ya dawa za kiganga hasa mambo ya "Ndagu" na zindiko la biashara.
Meseji ya kwanza nliyowahi kutumiwa ilikua inasema hivi:-
"Mjukuu wa KISIRE naona biashara ya mabasi sasa inatosha umeshanunua mabasi mengi, sasa uje tena sumbawanga nikupe dawa ya kusafisha nyota na ya ndagu Mimi ni babu yako wa Sumbawanga"
Leo nimetumiwa hii:-
" Ile Dawa Ya Kusafisha nyota Yako Nazindiko Lamalizako Tayali Nimekamilisha Mjuku Wang Uje Uchukue Nashukulu Pia Kama Ndagu Imeaza Kufanya Kazi"
Je hawa ni matapeli!!? Kwa anaejua suala hili atuambie.
TCRA na Serikali wanatulindaje wananchi? Kwanini namba zimesajiliwa na watu wanaendelea kufanya uhalifu huu?
Sampuli za SMS na namba kadhaa zinazotumiwa:
View attachment 624259
View attachment 624261
View attachment 624262
View attachment 624263
View attachment 624264
View attachment 624265
View attachment 624266
Nyingine hiyo hapo,mi huwa nawaambia dawa yangu ya utajiri ni tigo yako yaani nikiingiza dushe basiHabarini, napenda niulize hawa watu wanaotutumia SMS kama hizi namba zetu huwa wanazipata wapi??
Inakera sana mtu unaweza fikiria ni SMS ya pesa imeingia kumbe ni hawa matapeli
Hiyo namba hiyo ya halotel inakera sana tuwe macho na hawa wahuni
Mbona hujamjibu mkuu???? Au unaogopa kulogwa?? Em muandikie hapo ujumbe huoNyingine hiyo hapo,mi huwa nawaambia dawa yangu ya utajiri ni tigo yako yaani nikiingiza dushe basi
Hahaaaaa,,,,vyuma vimeshikanaNyingine hiyo hapo,mi huwa nawaambia dawa yangu ya utajiri ni tigo yako yaani nikiingiza dushe basi
Inawezekan hua wanakisia tu namba na kutuma meseji maana huo mchezo nakumbuka nishawah kuufanya sana pindi ningali kijana
Tupiamo mkuu tuioneKuna yule wa superpheo
Habarini, napenda niulize hawa watu wanaotutumia SMS kama hizi namba zetu huwa wanazipata wapi??
Inakera sana mtu unaweza fikiria ni SMS ya pesa imeingia kumbe ni hawa matapeli
Hiyo namba hiyo ya halotel inakera sana tuwe macho na hawa wahuni
Hahahaaaa,,,,,,OKSimple! Wananunua vitabu vya mawakala wa mpesa or tigo pesa, pale huwa tunaandika namba zetu na majina na kiasi tunachotoa so huwa wana fatilia zaidi wale wenye miamala mikubwa!
KumbeeeYale yale ya mabenki kutoa taarifa za wateja, utoaji wa hela nyingi n.k. Hatari sana..