Mere prediction about the future: Yajayo yanafurahisha, upo tayari?

Mkuu Ontario umejitahidi sana kufikiria na kuwaza wapi tutakuwa baada ya miaka 20-30 ijayo. Umetumia muda mwingi lakini pia umeassemble vizuri maarifa haya na kiukweli umeeleweka vizuri.

Mtazamo wangu nadhani kwa sehemu kubwa ya dunia tupo salama japo athari za mabadiliko haya zinaonekana hata huku kwenye second and third world countries ila siyo sana labda baada ya miaka elfu ijayo. Nitatoa mifano hapa chini:

1. Mpaka sasa watanzania wenye uwezo wa kujenga nyumba bora za kuishi ni wachache. Hivi hizi printed houses wataziweza? Hapa lazima tukubali kuwa Dangote, Kiboko cement na mabati chapa simba wataendelea kutamalaki kwa miaka nyingi inayokuja.

2. Barabara za kwetu bado ni shida na hata bajeti za kuzitengeneza hatuna, hivi hayo magari ya kuchajiwa na barabara za umeme tutayaweka wapi?

3. Huku kwetu unaingia hosipital mganga anakuuliza "unajiskiaje?" alafu anakupa madawa bila hata kukupima. Hizi smart knife tutaziweza?

3. Angalia pale bungeni, angalia serikalini, hivi unaona kiongozi gani mwenye mtazamo wa hata kufikiri kwamba dunia inabadilika? Yaani wote wanawaza kuwakamata wazazi wa watoto walipata mimba, yaani waziri anawaza kwenda kukagua shamba la miwa la jeshi, atafikiri lini kuhusu mambo ya tesla, 3D technologies nk?

4. Vijana wanaotoka vyuo wanalialia hivi kweli wataweza kuumiza vichwa vyao ili na sisi tuadapt hii trend ya mabadiliko?

Hivyo ndo maana binafsi naamini baadhi hayo hasa kwenye AI, Blockchain,na Mobile and internet tech yanawezekana hata kuku kutuathiri kwa kiasi fulani ila haya mengine tuwaachie wao mkuu. Gari la kwanza lilitengenezwa mwaka 1807 lakini mpaka leo 2018 yaani miaka 210 tangu uvumbuvu ufanyike Tanzania hatujawahi hata kujaribu kuunda gari la kwetu. Hali kadhalika nchi zote za ulimwengu wa tatu zipo hivyo.
 
Kama mtu ni tapeli humu lazima hili liwekwe hadharani ili kuwaepusha wengine humu kutapeliwa. Matapeli wana njia mbali mbali za kuwavuta watu ili wafanye uhuni wao. Kama kuna ushahidi wa kutosha dhidi ya huyu uwekwe hapa jamvini ili watu wamuepuke.
Kumbe hadi wewe?? nilikua nakuhishimu kdg...

Hata kutumia tu akili ndogo umeshindwa??

Nipo ofisini kwangu Oyster bay, Jangid Plaza, block G9, floor ya pili, ofisi namba 211 na naongeza ofisi namba 209. Kituo cha polisi Oysterbay kipo mita kadhaa kutoka ofisini kwangu, nikiwa ofisini kwangu Usalama wa Taifa naangaliana nao... Sasa mimi ni tapeli mwenye nguvu kiasi gani hadi hawa wote wananiogopa??

Sasa tunakashifiana uzi unafika comment ya 350 wahuni wachache wananiita tapeli, lkn mpk sasa hakuna aliyejitokeza kusema katapeliwa... Mzee wangu nnaemweshimu kwa busara zake alisemaga Tatizo sio mimi, tatizo ni uwaziri mkuu.
 
Sasa kumwambia mtu athibitishe alichokiandika ni kutotumia akili? Kutotumia akili ni mimi kuanza kukutuhumu kwamba wewe ni tapeli wakati sina ushahidi. Tafakari kwa kina badala ya kukurupuka.

Kumbe hadi wewe?? nilikua nakuhishimu kdg...

Hata kutumia tu akili ndogo umeshindwa??

Nipo ofisini kwangu Oyster bay, Jangid Plaza, block G9, floor ya pili, ofisi namba 211 na naongeza ofisi namba 209. Kituo cha polisi Oysterbay kipo mita kadhaa kutoka ofisini kwangu, nikiwa ofisini kwangu Usalama wa Taifa naangaliana nao... Sasa mimi ni tapeli mwenye nguvu kiasi gani hadi hawa wote wananiogopa??

Sasa tunakashifiana uzi unafika comment ya 350 wahuni wachache wananiita tapeli, lkn mpk sasa hakuna aliyejitokeza kusema katapeliwa... Mzee wangu nnaemweshimu kwa busara zake alisemaga Tatizo sio mimi, tatizo ni uwaziri mkuu.
 
Kumbe hadi wewe?? nilikua nakuhishimu kdg...

Hata kutumia tu akili ndogo umeshindwa??

Nipo ofisini kwangu Oyster bay, Jangid Plaza, block G9, floor ya pili, ofisi namba 211 na naongeza ofisi namba 209. Kituo cha polisi Oysterbay kipo mita kadhaa kutoka ofisini kwangu, nikiwa ofisini kwangu Usalama wa Taifa naangaliana nao... Sasa mimi ni tapeli mwenye nguvu kiasi gani hadi hawa wote wananiogopa??

Sasa tunakashifiana uzi unafika comment ya 350 wahuni wachache wananiita tapeli, lkn mpk sasa hakuna aliyejitokeza kusema katapeliwa... Mzee wangu nnaemweshimu kwa busara zake alisemaga Tatizo sio mimi, tatizo ni uwaziri mkuu.
Mkuu nitafutie ajira hapo police makao makuu
 
Kumbe hadi wewe?? nilikua nakuhishimu kdg...

Hata kutumia tu akili ndogo umeshindwa??

Nipo ofisini kwangu Oyster bay, Jangid Plaza, block G9, floor ya pili, ofisi namba 211 na naongeza ofisi namba 209. Kituo cha polisi Oysterbay kipo mita kadhaa kutoka ofisini kwangu, nikiwa ofisini kwangu Usalama wa Taifa naangaliana nao... Sasa mimi ni tapeli mwenye nguvu kiasi gani hadi hawa wote wananiogopa??

Sasa tunakashifiana uzi unafika comment ya 350 wahuni wachache wananiita tapeli, lkn mpk sasa hakuna aliyejitokeza kusema katapeliwa... Mzee wangu nnaemweshimu kwa busara zake alisemaga Tatizo sio mimi, tatizo ni uwaziri mkuu.
Nadhani jamaa alikuwa anawakumbusha wale wote wanaokutuhumu walete ushahidi sidhani kama yeye ana tatizo na wewe
 
Sasa kumwambia mtu athibitishe alichokiandika ni kutotumia akili? Kutotumia akili ni mimi kuanza kukutuhumu kwamba wewe ni tapeli wakati sina ushahidi. Tafakari kwa kina badala ya kukurupuka.
Am sorry! Naomba unisamehe... sikua nimesoma kwa umakini na kuelewa ulichomaanisha. Niwie sana radhi ndugu yangu.

Nami pia nasubiria ushahidi wa mtu niliyemtapeli.
 
Duuu mwakaa mzima nimesoma kitabu kimoja tuuu.....nimekuwa inspired huu mwaka nitafanya mabadiliko makubwa
 
Daaaah nilikuwa nakusikia sikia tu sijawahi kukufatilia kiundani !!!!!!
Ila kupitia hiii thread nmejua kila kuwa kile nlichokuwa nafikiria sicho ..... anyway labda umekosea jinsi ya kufikisha ujumbe pole saana
 
Daaaah nilikuwa nakusikia sikia tu sijawahi kukufatilia kiundani !!!!!!
Ila kupitia hiii thread nmejua kila kuwa kile nlichokuwa nafikiria sicho ..... anyway labda umekosea jinsi ya kufikisha ujumbe pole saana
Mkuu ulikuwa na mtazamo hasi juu yake?
 
Back
Top Bottom