X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,610
- 1,810
Nimeiokota hii kitu sehemu, nami nikaona si vibaya ku-share nanyi...!
Ewe Muumba nakuomba muharibie maisha mwanamme yoyote anaefikiria kuniibia mke wangu... Na kila anapotaka kutongoza basi sauti yake iwe kama ya chura au kunguru...Tena umfanye apate matende sehemu zake za siri na uzirefushe ziwe ndefu hata akivaa suruwali zitokeze nje na kila mtu azione, pia umpe maradhi ya kutoa hewa chafu kila anaposimama na mke wa mtu kwa nia ya kutongoza, na kila anapochukuwa changudoa basi umjalie Kunguni kwenye kitanda chake, mtese kwenye shopping asipate nguo size yake, zote ziwe ndogo kwake! Nakuomba mjazie chawa kwenye nywele zake, na viroboto wenye ukubwa kama mende...!
Amin.
Ewe Muumba nakuomba muharibie maisha mwanamme yoyote anaefikiria kuniibia mke wangu... Na kila anapotaka kutongoza basi sauti yake iwe kama ya chura au kunguru...Tena umfanye apate matende sehemu zake za siri na uzirefushe ziwe ndefu hata akivaa suruwali zitokeze nje na kila mtu azione, pia umpe maradhi ya kutoa hewa chafu kila anaposimama na mke wa mtu kwa nia ya kutongoza, na kila anapochukuwa changudoa basi umjalie Kunguni kwenye kitanda chake, mtese kwenye shopping asipate nguo size yake, zote ziwe ndogo kwake! Nakuomba mjazie chawa kwenye nywele zake, na viroboto wenye ukubwa kama mende...!
Amin.