bombu
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 1,127
- 542
Nina mtoto mdogo ambaye ndio ameanza kuota meno, lakini kilichonishangaza badala ya kuota meno mawili ya chini, limeota jino moja ambalo limegawanyika kwa juu (ni kama meno mawili yenye mzizi mmoja). Kuna watu wameniambia kuwa liking'oka hilo jino hakutaota jino jingine katika eneo hilo. Naomba wataalam mnisaidie kunijuza juu ya hili na kipi nifanye?