..bonyeza hapa kusoma makala ya gazeti la MwananchiReginald Mengi:
Sipendi tena kuongelea masuala haya, pia kutoka rohoni mwangu natamka kuwa nimemsamehe waziri kijana aliyekuwa anapanga njama za kunifilisi, lakini pia kumsamehe Waziri Masha kwa kuwa wote hawajui walitendalo, alisema Mengi
Mengi anacheza na lugha tu hapo. Usikute anamzungumzia mtu huyo huyo mmoja
Mengi anacheza na lugha tu hapo. Usikute anamzungumzia mtu huyo huyo mmoja