Soma post namba 18 ina habari zote.Kuhus swala la huyo jamaa kuhukumia ni haki yake manake amevuna alichokipanda.Lakni namini JAJI ame-cross the line hukumu haiendakini na kosa lenyewe
To me i was stupid kabisa 250yrs ni kama amemuhukumu adui yake
this is stupid
sasa huyo jaji anataka kuprove nini?