ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
Wapo wale wanaoenda chooni kujisaidia na kujamba mithili ya mabomu ya mbagal. Wapo wanaume wanaopiga mabao ya fast chooni na mabaa medi, wapo wanaopiga nyeto vyooni, wapo wanaovuta bangi wakienda chooni, wapo wanaojisaidia haja kubwa kuzidi size ya naniii zao za haja kubwa kisha wanaishia kulia as if wamepigwa, wapo wanaojisaidia haja ndogo as if wanacheza ndombolo ya solo na wale ambao wanapojisaidia haja ndogo wanasogeza tu chupi pembeni huku wakiwa wamechuchumaa na mende wakiangalia movie nzima.
Hebu jiulize, ingekuwa mende wanapiga picha na kuziuza mtaani au wanasimulia hayo yote kwa watu jinsi ulivyokuwa unafanya huko chooni, unadhani ungepata hata nguvu ya kupita mtaani kwa maringo ili hali ukijua kuwa watu wanajua hakp katabia kako?
na log out
Hebu jiulize, ingekuwa mende wanapiga picha na kuziuza mtaani au wanasimulia hayo yote kwa watu jinsi ulivyokuwa unafanya huko chooni, unadhani ungepata hata nguvu ya kupita mtaani kwa maringo ili hali ukijua kuwa watu wanajua hakp katabia kako?
na log out