men men men

Hahahaaaaaa! Dawa yao YOU MAKE YOUR OWN RULES!

Mimi mwanaume akini IGNORE bila sababu za msingi, kajiondoa mwenyewe pasi kushurutishwa na mtu yeyote kwenye kinyanganyiro. And he can NEVER LIKE NEVERRRRR come back! Akija takuta VIOO VIMEFUNGWA NA LOCK!
Dada Lara1 kizungumkuti ni pale inapotokea jamaa akaku-ignore wakati bado moyo wako piga ua bado unamzimia huyo charlie!
 
I hate how men think they are in control

they will talk to you when they feel like it,

they will not talk to you when they dont feel like it,

they will look for you when they feel like it,

when you look for them your desparate,

when you dont unaringa

when you give them what they want your cheap,

when you dont your old fashioned.

confusing huh???

it's is unfortunate that you hate the truth....men control
 
Tumefanyaje tena? Mnataka nini kutoka kwetu? Ok mmoja atoe definition ya mapenzi, rules na na na za mapenzi
 
we famba kweli...,akikuignore inamaana hulipi..c o mpaka uambiwe hulipi..ni tunasepaga kimya kimya..tu
 
Hujajua kutofautisha "your" na "you are" ambayo hufupishwa "you're"
Bora ungeandika KISWAHILI.
 
Yeah that's true.....that's why i'm afraid to fall in Love

I have fall in love indeed but am very carefull watching his steps as i hv been biten by a snake once that will not happen again kama itajirudia at least not in a painfull way.
 
I hate how men think they are in control

they will talk to you when they feel like it,

they will not talk to you when they dont feel like it,

they will look for you when they feel like it,

when you look for them your desparate,

when you dont unaringa

when you give them what they want your cheap,

when you dont your old fashioned.

confusing huh???

Hao ni binadamu not wanaume coz hata wanawake wapo ila SI WOTE, u have to deal with binadamu. Munyama hatari duniani kuliko wote ni binadamu
 
Kwa wale wanaojishaua.. Akileta pozi as long as kuna unachohitaji.. Hold on..ukishapata ATAISOMA!

Kama hakuna akijishaua nawe unaweka pozi..

Akirudi mpe bonge la dharau hadi ajione idiot.. Af imetoka!

Mapenzi sikatai yapo ila jus be selfish! List ur priorities,kama Hupati.. Then it wasnt meant for you! Move On..Its not the end of the World!

Girl, Just Love Urself and be selfish until u get the right one for you.. He will be very different from the others and u'l jus feel it im telling you!!

Duuuuu!!! Nakupa muda utamtafuta wa kumpa heshima usimpate.
Hapa uko twentiiiiz ukiiingia thatiiiz++++ utaelewa
 
Tatizo wadada hutumia moyo kupenda!!
Tumia akili zaidi wala haita umia!!!
Kama unataka kitu kwake hakikisha unapata!!
Siku zote weka mambo ya maendeleo mbele!!
Mwenyewe ata salute!!!
Sio kila saa mara club o beach, atakudharau
Vitaje mara chache ili kufurahia maisha!!
Hakikisha unapata somethng hata mkiachana
Na ukangalia nyuma!! U really had something to show!!!!
 
Duuuuu!!! Nakupa muda utamtafuta wa kumpa heshima usimpate.
Hapa uko twentiiiiz ukiiingia thatiiiz++++ utaelewa
age is nothing but a number! when he belongs to u haijalishi mydear! :A S 27:
 
Back
Top Bottom