Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,995
- 32,329
Title yahusika.
Me kuna mmoja humu alinirushia PM tukawa tunawasiliana fresh tu,
Na utani wa hapa na pale.
Ila siku niliyokuja kuonana nae,sikuamini kabisa,
Kumbe alikuwa ni Boss wangu wa pale Manispaa Kinondoni.
Nadhani anajijua.
Wewe je,yupi uliewah kukutana nae na hukuamini/tarajia kukutana nacho?
P'se SIHUSIKI NA MTAJANO WA USERNAME!
Me kuna mmoja humu alinirushia PM tukawa tunawasiliana fresh tu,
Na utani wa hapa na pale.
Ila siku niliyokuja kuonana nae,sikuamini kabisa,
Kumbe alikuwa ni Boss wangu wa pale Manispaa Kinondoni.
Nadhani anajijua.
Wewe je,yupi uliewah kukutana nae na hukuamini/tarajia kukutana nacho?
P'se SIHUSIKI NA MTAJANO WA USERNAME!