MEMBE: Tuna ushaidi unaolingana na mlima Kilimanjaro kuhusu umiliki wa ziwa Nyasa dhidi ya Malawi

Ninakereka ninapokutana na midiv. 0 kama. Hivi ulijuaje kupost kwenye jf bila kupitia shule?

Kama mimi ni div 0 basi wewe ni div negative.

Maana umetoa kashfa jumlajumla bila kuonyesha wapi nimekosea.

Halafu una assume kupitia shule ndio kuelimika.

Div negative indeed.
 
Kwa hiyo kama walivyotuuza kwa kesi bandia ya Dowans wanapanga tena kutuuza na ktk hii?! Hiyo mahakama ikihukumu tofauti na matarajio yetu tutakuwa na option nyingine au yatarudi yale ya Dowans? Hapa njia ni moja... Wasuluhishi/wapatanishi wakishindwa tumalize haya mambo kiporipori, mambo ya mahakama sijui ulaya na wapi... wizi mtupu.
 
Nafikiri Membe ana tatizo la kutofikiri na kufanya tathmini ya jambo/mambo anayotaka kuongea na madhara ya jambo lenyewe kwa jamii husika. Mambo nyeti ya Kitaifa anaongea na kuchukulia kirahisi tu.
 
the problem is not Membe,you are the problem for failing to understand his statement
Ushahidi unaolingana na mlima Kilimanjaro ndo ukoje? Umepimwaje ukajulikana unalingana na Kilimanjaro? Kwa mita?

Waachie washairi ushairi Membe, stick to the script.
 
We don't need to go to the court!! we have to declare our territory that its at the centre of Lake Nyasa!!
Kuna mambo mengine yanatatuliwa kwa kutoa tamko, mengine agizo na mengine vita. hili halihitaji kwenda mahakamani:- Hebu membe atuambie hii situation kwamba:-
Mahakama imeamua sasa ziwa lote pamoja na welaya ya Kyela ni sehemu ya malawi, atafanya nini? ataenda mahakama ipi zaidi?. We don't have to take risk to our soveignty!!
 
Kwa wanaojua diplomasia katika situation kama hii kuna kanuni ya clarity. Imekiukwa. Clarity inatakiwa kuchukua precedent over flowerly language.

Metaphor ni kwa malenga na watribu. Diplomasia katika kipindi kama hiki inatakiwa kufanyika kwa lugha clear isiyoacha mwanya wa majibizano.

Hapa Membe akikutana na Waziri mwingine mpuuzi huko anaweza kusema "na sisi tuna ushahidi mrefu kupita mlima Evarist" tayari mnaingia katia a silly war of words, which could easily lead to a real war.

Sobriety should prevail. "Tuna ushahidi wa kutosha" was sufficient, no need to hype an already inflammable situation with further pyrotechnics.

Duh,yaani we ndo umekuwa shomile mara dufu,hayo maneno ya kigeni tu
 
the problem is not Membe,you are the problem for failing to understand his statement

What makes you think I don't understand his "statement"? What makes you think his statement is understandable?
 
Membe pimbi sana.yaani mambo muhimu yeye anafanya siasa..malawi sio wajinga na hawako peke yao katika hili...
 
Duh!...usipa na mbasa ndio itakuwa wote baibai?....hapana!ushahidi kama mlma kilimanjaro,basi tuuchimbue mlima halisi twende nao mradi tu tushinde na mpaka upite katikati ikwezekana tulichukue lote.
 
membe ni mmoja kati ya mawaziri wenye tamaa na kutafuta madaraka kwa visasi

Hapa ana kisasi gani? Tuweke itikadi na ushabiki wetu wa kisiasa mbali hasa tunapogusa nyeti za nchi.....BRAVO MEMBE!
 
Back
Top Bottom