MEMBE: Tuna ushaidi unaolingana na mlima Kilimanjaro kuhusu umiliki wa ziwa Nyasa dhidi ya Malawi

Ushahidi unaolingana na mlima Kilimanjaro ndo ukoje? Umepimwaje ukajulikana unalingana na Kilimanjaro? Kwa mita?

Waachie washairi ushairi Membe, stick to the script.

Kiranga, kuwa uyaona. Mheshimiwa anatumia metaphor kwa kueleimisha, mbona kaeleweka vizuri tu? Kwani wewe kwa upeo wako wa elimu unataka kuniambia hujaelewa ana maana gani, au unataka kubisha tu? Jamani tusiwe wapuuzi kuhivi.
 
Last edited by a moderator:
Kiranga, kuwa uyaona. Mheshimiwa anatumia metaphor kwa kueleimisha, mbona kaeleweka vizuri tu? Kwani wewe kwa upeo wako wa elimu unataka kuniambia hujaelewa ana maana gani, au unataka kubisha tu? Jamani tusiwe wapuuzi kuhivi.

Kwa wanaojua diplomasia katika situation kama hii kuna kanuni ya clarity. Imekiukwa. Clarity inatakiwa kuchukua precedent over flowerly language.

Metaphor ni kwa malenga na watribu. Diplomasia katika kipindi kama hiki inatakiwa kufanyika kwa lugha clear isiyoacha mwanya wa majibizano.

Hapa Membe akikutana na Waziri mwingine mpuuzi huko anaweza kusema "na sisi tuna ushahidi mrefu kupita mlima Evarist" tayari mnaingia katia a silly war of words, which could easily lead to a real war.

Sobriety should prevail. "Tuna ushahidi wa kutosha" was sufficient, no need to hype an already inflammable situation with further pyrotechnics.
 
Kwa wanaojua diplomasia katika situation kama hii kuna kanuni ya clarity. Imekiukwa. Clarity inatakiwa kuchukua precedent over flowerly language.

Metaphor ni kwa malenga na watribu. Diplomasia katika kipindi kama hiki inatakiwa kufanyika kwa lugha clear isiyoacha mwanya wa majibizano.

Hapa Membe akikutana na Waziri mwingine mpuuzi huko anaweza kusema "na sisi tuna ushahidi mrefu kupita mlima Evarist" tayari mnaingia katia a silly war of words, which could easily lead to a real war.

Sobriety should prevail. "Tuna ushahidi wa kutosha" was sufficient, no need to hype an already inflammable situation with further pyrotechnics.

Mkuu Kiranga Sawa Hilo limeeleweka, na Mh. Waziri amelitambua.

Jukumu letu sote kwa hivi sasa, ni kuwa na mshikamano pasipo na itikadi,uasili,jinsia,dhehebu nk. turejee historia yetu miaka ya 1960's hadi mwanzoni mwa miaka ya 1980.

Tanzania ilikuwa ikiheshimika na kuogopewa kutokana na msimamo thabit, na misingi imara chini ya waasisi wetu "QUO VADIS TANZANIA".
 
Amewasihi watanzania wasiwe na wasiwasi, Tanzania imejipanga kuibomoa Malawi mahakamani kwani serikali ina ushahidi unaolingana na mlima Kilimanjaro.

Kwamba kilo ikienda Kenya. Bandari ya mombasa inakuja Tz. Huko Malawi no kipi Cheri huko?
 
Kwa wanaojua diplomasia katika situation kama hii kuna kanuni ya clarity. Imekiukwa. Clarity inatakiwa kuchukua precedent over flowerly language.

Metaphor ni kwa malenga na watribu. Diplomasia katika kipindi kama hiki inatakiwa kufanyika kwa lugha clear isiyoacha mwanya wa majibizano.

Hapa Membe akikutana na Waziri mwingine mpuuzi huko anaweza kusema "na sisi tuna ushahidi mrefu kupita mlima Evarist" tayari mnaingia katia a silly war of words, which could easily lead to a real war.

Sobriety should prevail. "Tuna ushahidi wa kutosha" was sufficient, no need to hype an already inflammable situation with further pyrotechnics.


Kiranga, to some extent you are deadly right lakini nafikiri you went too far in analyzing Membe's point of view. Muonee huruma kiongozi wetu.
 
Last edited by a moderator:
sijui itagharimu hela ngapi? hao majaji ni kina nani?

kama wataangalia weledi, uchapa kazi, uzalendo na kuweka mbali siasa za maji taka Tundu Antipas Lissu angekuwa mmoja kati ya mawakili watakao ihakikishia Tanzania ushindi dhidi ya malawi mahakamani!
 
Kwa wanaojua diplomasia katika situation kama hii kuna kanuni ya clarity. Imekiukwa. Clarity inatakiwa kuchukua precedent over flowerly language.

Metaphor ni kwa malenga na watribu. Diplomasia katika kipindi kama hiki inatakiwa kufanyika kwa lugha clear isiyoacha mwanya wa majibizano.

Hapa Membe akikutana na Waziri mwingine mpuuzi huko anaweza kusema "na sisi tuna ushahidi mrefu kupita mlima Evarist" tayari mnaingia katia a silly war of words, which could easily lead to a real war.

Sobriety should prevail. "Tuna ushahidi wa kutosha" was sufficient, no need to hype an already inflammable situation with further pyrotechnics.
Kwenye serikali hii ya ccm kuanzia chama,watu na vitu,hakuna viwango kabisa.
 
Sioni lolgic ya kwenda mahakama za kibongo. Kuna mahakama za kimataifa zinazoangalia mipaka (International Transboundary). Wazo sheria za kutosha. Kulingana na nilichsoma,hat ningeambia nikatoe hukumu leo,lile ziwa siyo la Malawi hata Tanzania. Ni ziwa la nchi zote mbili. Sijui wanaendesha hili swala kisiasa ama vipi. Any way,let's wait our foreign affairs about the court decisions
 
Mkuu Kiranga Sawa Hilo limeeleweka, na Mh. Waziri amelitambua.

Jukumu letu sote kwa hivi sasa, ni kuwa na mshikamano pasipo na itikadi,uasili,jinsia,dhehebu nk. turejee historia yetu miaka ya 1960's hadi mwanzoni mwa miaka ya 1980.

Tanzania ilikuwa ikiheshimika na kuogopewa kutokana na msimamo thabit, na misingi imara chini ya waasisi wetu "QUO VADIS TANZANIA".

Kwa hapa tulipo sasa hata kujiheshimu hakupo sasa unataka tuheshimiwe na nani? kuna huo mpaka dada Joy kauona leo? au yeye ndiye mwenye macho ya kuona kuliko Ma-Rais wote waliomtangulia? .... kiburi cha Joy ni kujua udhaifu mkubwa uliopo katika nchi yetu kwa sasa,anadhani udhaifu uliopo humu ndani ya nchi ni mpaka nje ya nchi.
 
Ushahidi unaolingana na mlima Kilimanjaro ndo ukoje? Umepimwaje ukajulikana unalingana na Kilimanjaro? Kwa mita?

Waachie washairi ushairi Membe, stick to the script.

Ninakereka ninapokutana na midiv. 0 kama. Hivi ulijuaje kupost kwenye jf bila kupitia shule?
 
Tanzania hatuna Waziri wa mambo ya nchi za nje, bali tuna mjinga mmoja aliyepewa mdomo wa kuropoka ropoka anaitwa Benard Membe.

Ziwa Nyasa hilo linakwenda Malawi, yeye Membe analeta Myths badala ya kuleta Facts.

Watanzania tunataka tuelezwe ni Facts zipi anakwenda kusimamia mahakamani na sio kutuletea hadithi za Mkwele hapa, kama hawezi kutueleza akae kimya tusubiri mpambano mahakamani.

Halafu na wewe unajiita GT. Pyuuu
 
Mpaka upi ulionao tz, au huu mpya walioutoa hivi juzi ndio ushindi wake? Ziwa ni mali ya malawi hakuna vigezo vyovyote viliovoonekana kabla, nchi hii imezowea kubabaisha watz na wanaendelea, ila sio wamalawi.
 
Membe hana la maana aliloongea analialia tu..nchi ina viongozi magumashi mpaka basi...yaani mjumbe wa jopo la upatanishi anaiba document anawapa tz ...tz wezi sana bana..bora kesi iende huko malawi wapewe ziwa lao
 
Back
Top Bottom