Uchaguzi 2020 Membe: Naufahamu uwezo wa Lissu, nitahakikisha anapata kazi kwenye serikali yangu

Kuna kanuni rahisi sana ya kisiasa niliwahi kufundishwa na marehemu Professor Chachage kuhusu wanasiasa wa Tanzania, inasema hivi
"Ukiona mwanasiasa anafanya spinning politics au anajifanya yuko neutral kwenye mazingira ya siasa zenye kukinzana basi ujue unatumika na chama tawala, tena kwa malipo mazuri"

Hili linamuhusu pia Membe.
 
Membe yuko live anafanya mahojiano na redio Tehran mida hii na ameulizwa kuwa kuendelea kwake na harakati za kampeni haoni kama zinamuhujumu Lissu na upinzani kwa ujumla?

Membe amejibu kwa kuwa yeye anaongoza kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali anaona ingekuwa busara kwa upinzani kama wangeweka nguvu pamoja na kumsupport yeye, pia amedai anaufahamu vizuri uwezo wa Lissu kisheria na hivyo kumhakikishia kazi katika serikali yake mpya kadri ya katiba itakavyoruhusu.

Wakuu yapi maoni yenu?
🤣🤣🤣 acha membe awavuruge hawa mbwa ili wakose direction kabisa, sisi hatuwezi kumpa nchi mtu mwenye Uraia wa ubelgiji na Marekani huko bhan 😂😂😂
Membe endelea kufanya yako bhan ili umrahisishie magufuli kazi, tena waambie wana ACT wakupigie kura nyingi sana kwa hizi dakika 5 za nyongeza baada ya 90 kuisha
Funga magoli hata kwa penalty.
 
Membe yuko live anafanya mahojiano na redio Tehran mida hii na ameulizwa kuwa kuendelea kwake na harakati za kampeni haoni kama zinamuhujumu Lissu na upinzani kwa ujumla?

Membe amejibu kwa kuwa yeye anaongoza kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali anaona ingekuwa busara kwa upinzani kama wangeweka nguvu pamoja na kumsupport yeye, pia amedai anaufahamu vizuri uwezo wa Lissu kisheria na hivyo kumhakikishia kazi katika serikali yake mpya kadri ya katiba itakavyoruhusu.

Wakuu yapi maoni yenu?
Radio Tehran? Kweli mmepania kumchafua Membe.

Amandla...
 
Membe yuko live anafanya mahojiano na redio Tehran mida hii na ameulizwa kuwa kuendelea kwake na harakati za kampeni haoni kama zinamuhujumu Lissu na upinzani kwa ujumla?

Membe amejibu kwa kuwa yeye anaongoza kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali anaona ingekuwa busara kwa upinzani kama wangeweka nguvu pamoja na kumsupport yeye, pia amedai anaufahamu vizuri uwezo wa Lissu kisheria na hivyo kumhakikishia kazi katika serikali yake mpya kadri ya katiba itakavyoruhusu.

Wakuu yapi maoni yenu?
mwaka huu tutaona mngiiiiii
wanagongana saiv
 
Membe yuko live anafanya mahojiano na redio Tehran mida hii na ameulizwa kuwa kuendelea kwake na harakati za kampeni haoni kama zinamuhujumu Lissu na upinzani kwa ujumla?

Membe amejibu kwa kuwa yeye anaongoza kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali anaona ingekuwa busara kwa upinzani kama wangeweka nguvu pamoja na kumsupport yeye, pia amedai anaufahamu vizuri uwezo wa Lissu kisheria na hivyo kumhakikishia kazi katika serikali yake mpya kadri ya katiba itakavyoruhusu.

Wakuu yapi maoni yenu?
Watu Wazima tena ambao 'Kutwa' mkiwa hapa 'JF' mnajiita 'Great Thinkers' kupoteza muda wenu 'Kumjadili' Membe ni kuonyesha 'Utahaira' Wenu.
 
Hii ndio Dk 89 tunawapiga bao mawakala wa mabeberu! Lissu kwisha habari yake, Maalimu naye Kule Zenji Chali umoja wa wabunge tunampeleka mahakamani!

Ndio umejiunga aprili mwaka huu ili ikifika wakati wa kampeni uwe unaongea huu utoto?
 
Haya maigizo yangekuwa yanachekeshwa tu, iwapo yangekuwa hayatumii Kodi zetu....., huyu jamaa analeta utani kwenye mambo serious....
 
Membe yuko live anafanya mahojiano na redio Tehran mida hii na ameulizwa kuwa kuendelea kwake na harakati za kampeni haoni kama zinamuhujumu Lissu na upinzani kwa ujumla?

Membe amejibu kwa kuwa yeye anaongoza kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali anaona ingekuwa busara kwa upinzani kama wangeweka nguvu pamoja na kumsupport yeye, pia amedai anaufahamu vizuri uwezo wa Lissu kisheria na hivyo kumhakikishia kazi katika serikali yake mpya kadri ya katiba itakavyoruhusu.

Wakuu yapi maoni yenu?
Nae ni mgonbea,na pia no mgombea makini sana,hivyo sioni tatizo na zaidi amewaomba msiwe na haraka.Kwani mambo mazuri hayahitaji haraka.
 
Membe yuko live anafanya mahojiano na redio Tehran mida hii na ameulizwa kuwa kuendelea kwake na harakati za kampeni haoni kama zinamuhujumu Lissu na upinzani kwa ujumla?

Membe amejibu kwa kuwa yeye anaongoza kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali anaona ingekuwa busara kwa upinzani kama wangeweka nguvu pamoja na kumsupport yeye, pia amedai anaufahamu vizuri uwezo wa Lissu kisheria na hivyo kumhakikishia kazi katika serikali yake mpya kadri ya katiba itakavyoruhusu.

Wakuu yapi maoni yenu?
Kama ni kweli amesema haya basi kuna uwezekano mkubwa ni case ya bipolar na atahitaji kuonana na wataalamu wa gonjwa la akili.
 
Back
Top Bottom