Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 10,129
- 35,153
Kuna kanuni rahisi sana ya kisiasa niliwahi kufundishwa na marehemu Professor Chachage kuhusu wanasiasa wa Tanzania, inasema hivi
"Ukiona mwanasiasa anafanya spinning politics au anajifanya yuko neutral kwenye mazingira ya siasa zenye kukinzana basi ujue unatumika na chama tawala, tena kwa malipo mazuri"
Hili linamuhusu pia Membe.
"Ukiona mwanasiasa anafanya spinning politics au anajifanya yuko neutral kwenye mazingira ya siasa zenye kukinzana basi ujue unatumika na chama tawala, tena kwa malipo mazuri"
Hili linamuhusu pia Membe.