Membe katika tamasha la Pasaka uwanja wa taifa

Waziri membe anazomewa na halaiki ya watu huku

Ndugu uko nje ya uwanja au ndani? Maana sisi tulioko ndani ya uwanja huu wa taifa tunaona watu wanavyoshangilia kwa nguvu zote haswa alipokemea ufisadi, kuzungumzia changamoto za mfumuko wa bei na kuzungumzia haja ya kutumia mchakato wa katiba kuipata tanzania tunayoitaka yenye neema tela, yenye haki sawa, ambayo wananchi watafurahia na kunufaika na rasilimali zao nk.
 
Waziri membe anazomewa na halaiki ya watu huku

Ndugu uko nje ya uwanja au ndani? Maana sisi tulioko ndani ya uwanja huu wa taifa tunaona watu wanavyoshangilia kwa nguvu zote haswa alipokemea ufisadi, kuzungumzia changamoto za mfumuko wa bei na kuzungumzia haja ya kutumia mchakato wa katiba kuipata tanzania tunayoitaka yenye neema tele, yenye haki sawa, ambayo wananchi watafurahia na kunufaika na rasilimali zao nk.
 
Ndugu uko nje ya uwanja au ndani? Maana sisi tulioko ndani ya uwanja huu wa taifa tunaona watu wanavyoshangilia kwa nguvu zote haswa alipokemea ufisadi, kuzungumzia changamoto za mfumuko wa bei na kuzungumzia haja ya kutumia mchakato wa katiba kuipata tanzania tunayoitaka yenye neema tela, yenye haki sawa, ambayo wananchi watafurahia na kunufaika na rasilimali zao nk.

naona una tatizo la kutofautisha kelele za kushangilia na zile za kuzomea.kuna threads kama tatu zinaelezea jamaa kazomewa sasa unataka tukuamini na post yako moja.
 
Nipo uwanjani na mhe Membe ndio anaondoka hapa
Si kweli Mhe Membe amezomewa ila watu wameshangilia sana pale alipogusa issues za ufisadi na ugumu wa maisha.
Wananchi walifurahi zaidi pale alipotangaza kutoa millioni kumi,Pinda million 5 na Mhe rais millioni 10 kwa ajili ya kuchangia mfuko wa msama promotions kusaidia watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu.
OTIS
 
kaingiza mambo ya katiba kwenye tamasha la pasaka alitegemea nini?

Shirikisha ubongo mkuu
Membe kazungumza mambo mengi sana hasa role ya dini kwenye mshikamano wa Taifa.
Don't single out jambo la katiba na kupotosha watu
OTIS
 
Shirikisha ubongo mkuu
Membe kazungumza mambo mengi sana hasa role ya dini kwenye mshikamano wa Taifa.
Don't single out jambo la katiba na kupotosha watu
OTIS
nimetembelea blogs kadhaa na zote kuna hili suala la membe kuzomewa.
Acha kutumia ugwe mgongo kufikiri!
 
Sherehe haikuhusu unaomba uwe mgeni rasmi ili wakuone eti 2015 unagombea uras, hiyo ndiyo zawadi aliofuata na bado.
 
naona una tatizo la kutofautisha kelele za kushangilia na zile za kuzomea.kuna threads kama tatu zinaelezea jamaa kazomewa sasa unataka tukuamini na post yako moja.

Kumbe wewe unaamini idadi ya post na si ukweli? Wingi kwako ni ukweli? Wewe sio wa kujadili nae.
 
nimetembelea blogs kadhaa na zote kuna hili suala la membe kuzomewa.
Acha kutumia ugwe mgongo kufikiri!

Kukuta kwenye blogs sio kigezo mkuu.
Kuna watu kama nyie mlio busy kueneza uongo kwenye mitandao
OTIS
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom