MpigaFilimbi
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 1,169
- 182
Membe anachekesha sana, kwa hiyo anataka kusema kuwa wakati wote chakula kinapikwa kingi nyumbani kwake kusubiri wageni kama akina Lema? au ilikuwaje kikaandaliwa chakula cha kuwatosha kama kulikuwa hakuna mawasiliano kabla? Mtu anakana vipi taarifa zilizorushwa kwenye tv?