Membe arrives to attend the 67th session of the UN General Assembly

Jambo hili limenishangaza sana; tangu kumjua Kikwete kama Rais wa Tanzania sikuwahi kumwona hata siku moja akiachia trip. Inaonekana kulikuwa na tishio kubwa sana huko NEC kiasi kuwa akaamua aiache trip hiyo ambayo ilikuwa ni haki yake kama kiongozi wa nchi kukutana na viongozi wenzake.
 
Ina Maana NEC 2012 Ina Umuhimu haswa... Rais hata panda NDEGE kwenda New York ???

Maslahi naona yapo NEC - CCM; Kupitisha Familia yake nini ?


:biggrin1: yaani karibu nidondoke kwenye kiti changu hapa niliposikia JK atamiss trip ya NEW YORK eeh kweli huko dodoma kumekuchaaa.....mzee kaachia allowance yake hivi hivi
 
Lakini akisafiri si mnalalamika wajameni? hamuoni kuwa amesevu pesa zetu, wasaidizi kibao, mabodigadi WAPAMBE, JETSTREAM, MALAZI ALLOWANCE VYOTE HIVYO AMESEVU, KUWENI WAZALENDO WALAU KIDOGO TU!!
 
Lakini akisafiri si mnalalamika wajameni? hamuoni kuwa amesevu pesa zetu, wasaidizi kibao, mabodigadi WAPAMBE, JETSTREAM, MALAZI ALLOWANCE VYOTE HIVYO AMESEVU, KUWENI WAZALENDO WALAU KIDOGO TU!!

JK hajabaki Bongo kwa ajili ya NEC. Amebaki kwasababu Mama Melinda Gates atakuwa Arusha kwenye mkutano wa Kilimo Kwanza na J.K ndio ataufungua . Kwa Hiyo hakuwa na jinsi ya kuondoka maana hata Hiyo kilimo kwanza sio wazo lake zaidi ya kudandia agenda za Bill Gates foundation.
 
Membe naona anatumia kila fursa inayojitokeza,majuzi nilimwona akipokelewa na mkuu wa mkoa wa Ruvuma na viongozi wa ulinzi na usalama ungedhani ni mkuu wa nchi.

 
Duh hapa Col John Chacha mkuu wa brigedi ya kusini Songea anatoa salamu kwa mkuu wa nchi mtarajiwa.

 
Kamanda wa polisi mkoa wa Ruvuma Nsimeki akimsalimia kwa unyenyekevu wa hali ya juu Rais mtarajiwa Mhe Membe.

 
Mkuu wa mkoa wa Ruvuma akimkaribisha Rais mtarajiwa Hon MEMBE ili azungumze na wananchi.

 
Sijui uwezo wa Membe kiutendaji lakini kwenye picha, kama ni picha tu zingekuwa zinatumika kama kigezo cha mtu kuwa President, basi the guy looks presidential.
 
Lakini akisafiri si mnalalamika wajameni? hamuoni kuwa amesevu pesa zetu, wasaidizi kibao, mabodigadi WAPAMBE, JETSTREAM, MALAZI ALLOWANCE VYOTE HIVYO AMESEVU, KUWENI WAZALENDO WALAU KIDOGO TU!!

Amemtuma Mama (first Lady na yeye yuko kwenye delegation ya Membe, New York) usichezee familia ya watalii.
 
Amemtuma Mama (first Lady na yeye yuko kwenye delegation ya Membe, New York) usichezee familia ya watalii.

Wacha wewe; yule mama nadhani ndiye aliyemwambukiza mzee kwa kupenda kwenda nje. Kuna siku alichukua Gulfstream eti akaenda kutembea Brazil akijifanya anakwenda kutangaza utalii.
 
Muda huu vikao vya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UN-GA) vinaendelea huko Marekani. Tumesikia Waziri Membe ndiye anayemwakilisha huko.

Ni nadra sana (toka awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) kwa Jakaya Kikwete kukosa kuhudhuria mikutano/vikao vya aina hiyo. Kama kumbukumbu zangu ziko vizuri Rais amehudhuria hata vikao/mikutano ya hadhi ya chini ya Taasisi ya Urais mfano kama vile vikao vya ngazi za mawaziri na wakuu wa Taasisi nyingine za Umma.

Je ni sababu gani kubwa iliyosababisha akose kuwepo New York muda huu?

1) Je! ni kwa vile CCM walikuwa na chaguzi za ndani ambazo yeye ni mwenyekiti?

2) Je ni kwa vile kwa upaumbele Taasisi ya Urais iko chini ya ile U-wenyekiti?

3) Je Rais amesikia kilio cha muda mrefu cha kumtaka kupunguza safari za nje?
 
Ina Maana NEC 2012 Ina Umuhimu haswa... Rais hata panda NDEGE kwenda New York ???

Maslahi naona yapo NEC - CCM; Kupitisha Familia yake nini ?
Hamna dogo? Angeenda mngesema ooho hatulii nyumbani, kazi kusafiri nje tu. Hajaenda mnaguna. Afanye nini jamani! Mwacheni mwana wa mwenzenu eh!
 
Hamna dogo? Angeenda mngesema ooho hatulii nyumbani, kazi kusafiri nje tu. Hajaenda mnaguna. Afanye nini jamani! Mwacheni mwana wa mwenzenu eh!

Rais wetu anavyopapenda USA, Inashangaza Hakwenda!!!! Umesikia Amekwenda SAUD ARABIA ? Kila trip za

SAUD ARABIA analalikia goti anamtuma BILAL;AU RAIS WA ZANZIBAR
 
Back
Top Bottom