rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,263
- 20,290
kama amezuia nampongeza kwani hizo pesa badala ya kufanyia mambo ya maana zingeenda kwa uamsho mbona mnasajili meli za nje lakini ni sumatra ndio inalipa kimataifa na hamtoi hata senti tano,umeme mmeshindwa kulipa ingawa mnautumia hakuna aliyewazui hata sasa jiondoeni tutaishi kwa raha huku bara