Plato
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 420
- 94
Habari ya kwenye majira la leo ya mtu mmoja kutoa mil.60 kwa tukio la kusimika askofu,ni aibu.wakatoliki hatujawahi kushindwa kuendesha sherehe zetu
hii itaharibu kabisa image ya kanisa,na ya pengo alipoongea kwa ukali juzi.mafisadi ni watu hatari.yasijetokea ya askofu kuwekwa mfukoni,naam kanisa kuwekwa mfukoni.
hii itaharibu kabisa image ya kanisa,na ya pengo alipoongea kwa ukali juzi.mafisadi ni watu hatari.yasijetokea ya askofu kuwekwa mfukoni,naam kanisa kuwekwa mfukoni.