Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,945
- 156,107
Wawili wafariki kwa ajali ya Meli ndani ya ziwa Tanganyika.
Watu wawili akiwemo kapteni wa MV. Tanganyika wamefariki kwenye ajali ambayo imetokea usiku wa tarehe 16 juni 2023
Meli hiyo ambayo ilikua ikitokea Kigoma nchini Tanzania kuelekea Kalemi nchini RDC ikiwa na mzigo wa mafuta ya petroli imepata ajali baada ya tatizo ambalo limetokea kwenye mfumo wa mashine ya meli hiyo.
Kwenye ajali hiyo watu wa wili wamefariki akiwemo kapteni wa meli hiyo ambaye ametambulika kwa jina la Bw. Florent.
Kulikua na watu 17, watu 12 wameokolewa, wawili wamefariki na watatu hawajapatikana, lakini pia meli hiyo haiku weza kuokolewa, imezama yote ndani ya maji.
Watu wawili akiwemo kapteni wa MV. Tanganyika wamefariki kwenye ajali ambayo imetokea usiku wa tarehe 16 juni 2023
Meli hiyo ambayo ilikua ikitokea Kigoma nchini Tanzania kuelekea Kalemi nchini RDC ikiwa na mzigo wa mafuta ya petroli imepata ajali baada ya tatizo ambalo limetokea kwenye mfumo wa mashine ya meli hiyo.
Kwenye ajali hiyo watu wa wili wamefariki akiwemo kapteni wa meli hiyo ambaye ametambulika kwa jina la Bw. Florent.
Kulikua na watu 17, watu 12 wameokolewa, wawili wamefariki na watatu hawajapatikana, lakini pia meli hiyo haiku weza kuokolewa, imezama yote ndani ya maji.