Ndugu wanajf nikitathimini kazi ya nguvu ya umma ikishirikiana na media zetu (mwanahalisi, raia mwema, mwananchi, majira, taifa letu, kulikoni, guardian on sunday, itv, star tv, mlimani tv na chanel ten) nadiriki kusema-
1. Polisi iandae makontena ya mabomu manake ninaona moto wa nguvu ya umma unashika kasi-imeanza arusha na mbeya-kwingine kote moto utawaka.
2. Haki inayoporwa kila siku na ombwe la uongozi tulionao itarudi kwa nguvu ya umma na media hizo hapo juu
3. Katiba mpya ndani ya nyumba naiona wazi kabisa
4. Mafisadi wote kufikishwa mahakamani kwa nguvu ya umma-infact list of shame ya dr slaa itafika mahakamani kwa nguvu ya umma na media hizo
5. Dowans, iptl, kagoda, meremeta, tangold, pesa iliyoporwa uwanja wa ndege na uchakachuaji wa meya arusha zitafuatiliwa kwa karibu na nguvu ya umma na media.
Nilifarijika kuona jinsi media ilivyocover tukio la kitaifa arusha na kutupilia mbali mapinduzi daimaaaaaaaaaaaa on 13th jan 2011.
Nilifurahi kwa kipima joto itv -dowans nguvu ya umma iliongea.
Ninakiri kuwa zipo media bazazi kama uhuru, habari leo, mtanzania na rai pamoja na radio kadhaa za kinafiki zinajaribu kupunguza kasi ya nguvu ya umma-lakini mwisho wa siku vitachemsha-nguvu ya umma ina uongozi makini kwa lengo la kuikomboa nchi. Nguvu ya umma haiogopi risasi
media keep it up!
1. Polisi iandae makontena ya mabomu manake ninaona moto wa nguvu ya umma unashika kasi-imeanza arusha na mbeya-kwingine kote moto utawaka.
2. Haki inayoporwa kila siku na ombwe la uongozi tulionao itarudi kwa nguvu ya umma na media hizo hapo juu
3. Katiba mpya ndani ya nyumba naiona wazi kabisa
4. Mafisadi wote kufikishwa mahakamani kwa nguvu ya umma-infact list of shame ya dr slaa itafika mahakamani kwa nguvu ya umma na media hizo
5. Dowans, iptl, kagoda, meremeta, tangold, pesa iliyoporwa uwanja wa ndege na uchakachuaji wa meya arusha zitafuatiliwa kwa karibu na nguvu ya umma na media.
Nilifarijika kuona jinsi media ilivyocover tukio la kitaifa arusha na kutupilia mbali mapinduzi daimaaaaaaaaaaaa on 13th jan 2011.
Nilifurahi kwa kipima joto itv -dowans nguvu ya umma iliongea.
Ninakiri kuwa zipo media bazazi kama uhuru, habari leo, mtanzania na rai pamoja na radio kadhaa za kinafiki zinajaribu kupunguza kasi ya nguvu ya umma-lakini mwisho wa siku vitachemsha-nguvu ya umma ina uongozi makini kwa lengo la kuikomboa nchi. Nguvu ya umma haiogopi risasi
media keep it up!