Media Inapodhihaki Shida Za Watu Kwenye Siku Ya Wajinga

nimepigiwa simu usiku wa leo kama saa kumi hivi na mdada mmoja tunao ofcn......ananiambia kuwa mke wangu amepata ajali ya gari na kuwa wamekilbizwa hosp....ki ukweli mke wangu yuko safarini....huyu dda anasema ameona breaking news kwenye tiv usiku huu.....akaniambia kaka fatilia ujue wifi kama yuko hai au la......ndugu zangu nimekurupuka nikaanza kupiga simu hadi kwa wazazi wake huko (poland).....ndipo mdogo wangu yuko bukoba akaniambia..unajua kaka leo ni tar 1 siku ya wajinga huenda anakutania huyu.....baada ya kumpata kwenye simu my wife wangu....tukaongea na kuniambia yuko amelala na yu salama......

sikuweza kulala tena ila nilianza kufanya mazoezi nikaoga na nikaja ofcn..moja kwa moja hadi ofc ya yule dada aliyenipigia simu....sikumkuta..nikasubiri hapo nje...baadae akaja aliponiona akaanza kucheka.....mi nilikuwa nimevaa sura ya mbuzi (hasira) nimemtandika makofi ya haja nimempiga sana......kuna utani jamani lakini sio kama huu wa kufiwa na kupata ajalia hata kama leo ni siku y wajinga......amerudi hosp na hapa ofcn nimewaleza sababu za kumpa kichapo ....hata HR na MD wamesema amekosea kusema uongo wa aina ile....kikubwa ameambia akapumzike home nami nikojob napiga kazi

Duh.. Pole kaka
 
Back
Top Bottom