Mechi za Yanga zichunguzwe, haiwezekani wanashinda mechi kirahisi namna hii

Nimependa tu kuona Yanga haina kiwango bora zaidi ya ujanja ujanja wa GSM kwa baadhi ya wachezaji wa Mtibwa hasa fowadi aliyevaa kiatu chekundu na kihimbwa
Mtateseka sana mwaka huu.
Tabia cha mtu Malaya,awe mwanamke au mwanaume,huwa anawaza kuwa anavyoishi yeye kimakaya Malaya na watu wote huishi hivyo

Akipita njiani akiona kuku au mbwa wanajamiiana anatamani angekuwa yeye.
Simba mmezoea kuhonga marefa na kununua mechi.
Sasa mnawaza na yanga wanashinda kwa mtindo huo

Goli mbili za Jana zinawatesa sana simba.
 
We jifurahishe tu manake kufurahi ndo sehemu ya soka lakini huwezi kuwa na mzuka wa kumsubiri Mwananchi wewe...
Kama Simba anaweza kupata goli away kwenye CAF, Chura ni nani wa kumzuia Simba asipate goli?
 
Kama Simba anaweza kupata goli away kwenye CAF, Chura ni nani wa kumzuia Simba asipate goli?
Away? Acha kuchekesha bhana...

Guys, itakuwa mnajidanganya sana kama mtapima matokeo ya Kolo kwa kupata sare ya ugenini dhidi USGN.

Nakukumbusha tu kwamba USGN ni timu kutoka Niger!! Hivi umeshawahi kuisikia Niger kwenye historia ya soka?

Take this from me! Watu washamsoma USGN kwamba ingawaje wapo chini sana kisoka lakini pale kwao wanajifanya kudindisha!!

Lakini kwa hatua muhimu kama hii, timu zikienda pale hazitacheka na nyani, and that said, ingawaje Jmosi USGN wanacheza nyumbani na Asec lakini bado atakula 3-1 kwenye uwanja wao!!

Pia atakula 3-2 na RSB Berkane!!

Kwahiyo amini usiamini, endapo mtashindwa kuingia Robo Fainali basi itatokana na mistake ya ile sare kwa sababu yule mlitakiwa kumtungua kwao kwa sababu wengine watamtungua!!
 
Tukitaka kukuza soka la Tanzania tunapaswa kucheza na kushinda kwa haki .

Hii game ya Mtibwa vs Yanga ni kama ya kimchongo kabisa yaani , magoli yaliyofungwa mbona ni laini sana! inakuwaje Mtibwa wanacheza wao lakini wanafungwa kizembe vile?

Kuna haja ya kuchunguza kama kulikuwa na maelewano ya nje ya Uwanja kati ya timu hizi mbili au La

Naomba kuwasilisha.
KOLO, unateseka ukiwa wapi?????hahahaha
 
Tukitaka kukuza soka la Tanzania tunapaswa kucheza na kushinda kwa haki .

Hii game ya Mtibwa vs Yanga ni kama ya kimchongo kabisa yaani , magoli yaliyofungwa mbona ni laini sana! inakuwaje Mtibwa wanacheza wao lakini wanafungwa kizembe vile?

Kuna haja ya kuchunguza kama kulikuwa na maelewano ya nje ya Uwanja kati ya timu hizi mbili au La

Naomba kuwasilisha.
Nilikuwa nakuona mtu mwenye akili nyingi sana kumbe saa nyingine unakuwa saa mbovu
 
Tukitaka kukuza soka la Tanzania tunapaswa kucheza na kushinda kwa haki .

Hii game ya Mtibwa vs Yanga ni kama ya kimchongo kabisa yaani , magoli yaliyofungwa mbona ni laini sana! inakuwaje Mtibwa wanacheza wao lakini wanafungwa kizembe vile?

Kuna haja ya kuchunguza kama kulikuwa na maelewano ya nje ya Uwanja kati ya timu hizi mbili au La

Naomba kuwasilisha.
Leo umenichosha kabisa thamani niliyokupa kumbe ilikuwa kazi bure hivi gsm anaweza kuhonga wachezaji wote wacheze vibaya.
 
Tukitaka kukuza soka la Tanzania tunapaswa kucheza na kushinda kwa haki .

Hii game ya Mtibwa vs Yanga ni kama ya kimchongo kabisa yaani , magoli yaliyofungwa mbona ni laini sana! inakuwaje Mtibwa wanacheza wao lakini wanafungwa kizembe vile?

Kuna haja ya kuchunguza kama kulikuwa na maelewano ya nje ya Uwanja kati ya timu hizi mbili au La

Naomba kuwasilisha.
Acha uboya wewe watu wanawekeza pesa yan yanga ipo kamili sana tuna kipa, mabeki, viungo na mstriker bora sana, ile ni ubora tu mbona nyie mmewagunga watu saba na wapo kwenye ligi hatujasema yan ni hiv kila mtu ashinde mechi zake, yan hakuna striker yyte Simba anayemfkia mayele ata afumbe macho uwanjani...tunachukua ubingwa bila kufungwa halaf tukiingia klabu bingwa msimu ujao tutawaonyesha watu wanavyoingia nusu fainali kirahisi.
 
Tukitaka kukuza soka la Tanzania tunapaswa kucheza na kushinda kwa haki .

Hii game ya Mtibwa vs Yanga ni kama ya kimchongo kabisa yaani , magoli yaliyofungwa mbona ni laini sana! inakuwaje Mtibwa wanacheza wao lakini wanafungwa kizembe vile?

Kuna haja ya kuchunguza kama kulikuwa na maelewano ya nje ya Uwanja kati ya timu hizi mbili au La

Naomba kuwasilisha.
Wamechelewa kwani Rushwa ilishatembea Kitambo sana na nakuacha na Swali umeshajiuliza ni kwanini Beki Muhimu wa Mtibwa Sugar FC Abdi Banda mpaka Saa 6 Mchana jana alikuwa Mzima ( Fiti ) ila baadae akajifanya Mgonjwa ghafla na kuomba asipangwe?

Na Yanga SC wote walikuwa Wakimhofia zaidi Yeye ( Abdi Banda ) kwakuwa walijua angekuwa Kikwazo cha Ushindi Kwao kwakuwa angemdhibiti vilivyo Mshambuliaji wao Tegemezi Fiston Kalala Mayele ambayo kwa sasa ndiyo Roho ya wana Yanga SC wote duniani na mbinguni.
 
Tukitaka kukuza soka la Tanzania tunapaswa kucheza na kushinda kwa haki .

Hii game ya Mtibwa vs Yanga ni kama ya kimchongo kabisa yaani , magoli yaliyofungwa mbona ni laini sana! inakuwaje Mtibwa wanacheza wao lakini wanafungwa kizembe vile?

Kuna haja ya kuchunguza kama kulikuwa na maelewano ya nje ya Uwanja kati ya timu hizi mbili au La

Naomba kuwasilisha.

Halafu mkiitwa mbumbumbu, mnakasirika! Na wakati mnastahili kabisa.

Kwa hiyo mlipo wafunga Ruvu Shooting 7 kwa 0, na wenyewe waliwauzia mechi! Au ni kwa sababu mna kiwango cha juu sana?
 
Wamechelewa kwani Rushwa ilishatembea Kitambo sana na nakuacha na Swali umeshajiuliza ni kwanini Beki Muhimu wa Mtibwa Sugar FC Abdi Banda mpaka Saa 6 Mchana jana alikuwa Mzima ( Fiti ) ila baadae akajifanya Mgonjwa ghafla na kuomba asipangwe?

Na Yanga SC wote walikuwa Wakimhofia zaidi Yeye ( Abdi Banda ) kwakuwa walijua angekuwa Kikwazo cha Ushindi Kwao kwakuwa angemdhibiti vilivyo Mshambuliaji wao Tegemezi Fiston Kalala Mayele ambayo kwa sasa ndiyo Roho ya wana Yanga SC wote duniani na mbinguni.
Kumbe wewe ni mpumbavu kiasi hiki? Unahoji kipumbavu sana, kama ishu ni Abdi Banda kuhusushwa na rushwa kisa tu kutopangwa je angeshindwa vipi kucheza chini ya kiwango kama angepangwa ili kuwafanya Yanga ishinde mpaka aamuliwe asipangewe? Mechi zote alizochezeahwa huyo Banda, Mtibwa hakupoteza?
 
Back
Top Bottom