Eti?Inaoneshwa na televishen ya taifa ya Libya.
Hii timu ina haribiwa na siasa za kijinga za ccm,juzi kama umesikia naibu waziri wa Sanaa,utamaduni na michezo anakwambia kwenye michezo wametenga Tsh 183 milioni,hebu fikiria na hapo hiyo hela inahusu timu zote yaani ya wakubwa,under 20,under 21 na timu ya wanawake!.Huwa sina mzuka wa kuangalia taifa staa .maana najua hatutafika popote.Bora nikomae kwenye vilabu kama simba,yanga nk
Taifa Stars inaongoza goli moja bila.Habar wanajamvi nauliza mechi ya leo ya taifa stars vs Uganda inarushwa channel ipi
Hapa bongo tuna wacha mbuzi,Tumeshinda?? Si nimesikia wachambuzi wetu wa soka wakisema hatuwawezi Uganda hata kwa dawa!
Hebu tupe uchambuzi? Maamuzi ya kocha yalikuwa sahihi? Kwa mtazamo wako?....Na je kiwango umekionaje kimeridhisha?mechi imeoneshwa na TV ya Sports ya Libya, nimeangalia tumecheza kwa akili sana wachezaji wa Simba hawamo ni Mzamiru na Kakolanya tu timu imeshinda Tanzania 1 Uganda 0
timu bado ila mwelekeo umeonekana. tumejilinda zaidi badala ya kushambulia. wachezaji wamejituma sana maana hawana majina makubwaHebu tupe uchambuzi? Maamuzi ya kocha yalikuwa sahihi? Kwa mtazamo wako?....Na je kiwango umekionaje kimeridhisha?
Hiyo hela inapwaswa kuwa match winning bonus ya mechi mbili tuu za timu kubwa.Hii timu ina haribiwa na siasa za kijinga za ccm,juzi kama umesikia naibu waziri wa Sanaa,utamaduni na michezo anakwambia kwenye michezo wametenga Tsh 183 milioni,hebu fikiria na hapo hiyo hela inahusu timu zote yaani ya wakubwa,under 20,under 21 na timu ya wanawake!.
Hii nchi ina vituko mnooooooo!
Tusubirie mechi za ushindaniHapa bongo tuna wacha mbuzi,
Na sio wachambuzi
Wewe binafsi umeridhika?timu bado ila mwelekeo umeonekana. tumejilinda zaidi badala ya kushambulia. wachezaji wamejituma sana maana hawana majina makubwa