SUPER PREDATOR
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 2,093
- 725
Wakuu naomba mwenye taarifa ya mechi ya Leo inaanza saa ngapi?, na je television yetu ya taifa itaonyesha mechi hii na kama television yetu ya taifa haitaonyesha ni television ipi itaonyesha ili tuangalie live. Na kama television yetu ya taifa haitaonyesha mechi hii ya taifa stars wananchi tufanye nini ili mechi zijazo ziwe zinaonyeshwa na TBC 1 ili sisi walipokodi wa nchi hii tusio na uwezo wa kwenda uwanja wa taifa tuweze kuiona timu yetu ya taifa stars live?. Asanteni kwa kunielewa
Wakuu naona TBC1 wamejiunga na ZBC wanaonyesha live asanteni kwa ushirikiano
Wakuu naona TBC1 wamejiunga na ZBC wanaonyesha live asanteni kwa ushirikiano