admiral elect
Member
- Nov 30, 2011
- 93
- 29
Habari za maandalizi ya mwaka mpya wakuu? Wakuu naomba masaada wenu wa mawazo na utalaalam ili nipate cha kumshauri jamaa yangu kwani mie yamenishinda na hata jamaa yangu kila nikimuuliza anasema I dont know the next move! Kusema kweli jamaa hajaniomba ushauri rasmi ila limenishangaza sana hili na inaonekana jamaa kweli hajui cha kufanya na hivyo nimeona nijaribu kupata maoni yenu ili nipate base ya kumshauri rasmi jamaa yangu. Kinachosukuma zaidi ni kwamba kesho jioni kutakuwa na mechi ya marudiano hivyo nimeona nimshauri jamaa kabla ya kesho jioni.
Kwa kifupi kabisa huyu jamaa yangu tulisoma naye shule moja primary ,A level na sasa chuo ila kozi tofauti. Jamaa alimpenda demu mmoja mzuri tu hapa chuo anayesoma naye kozi moja ila demu yuko nyuma mwaka mmoja. Kwa muono wangu pia, demu ni mzuri sana maana mambo yetu yale yako full na sidhani kama ni fake maana akina dada wengi wa mkoa ule huwa wamejaliwa hayo mambo .
Kufanya stori iwe fupi, jamaa kamsotea demu huyo kwa muda kama wa miezi 7 hivi lakini katika vipindi 2 maana kuna kipindi alikata tama na baadae akarudisha tena majeshi mstari wa mbele. Kipindi cha kwanza ilikuwa no signal kabisa, lakini kipindi cha pili chanel ikakamata lakini kukawa na chenga nyingi kwani demu alikubali lakini akasema ana mashaka kama atadumu nae kwani yeye demu ana kasoro ambayo hakutaka kumwabia jamaa . jamaa baada ya kubembeleza aambiwe kasoro bila mafanikio, akaanza kuhisi kuwa labda demu anazo zote.
Jamani, ni kweli mvumilivu hula mbivu na bandu bandu humaliza gogo. Jumamosi iliyopita demu akakubali mwaliko wa mechi ya kirafiki. Kwa jinsi jamaa alivyokuwa na mashaka akaniambia kila kitu,hadi uwanja wa mpambano na kuniomba nisizime simu na niwe standby maana hajui mambo yatakwendaje na akaniambia ikifika saa moja usiku kabla hajanipigia simu nimcheki ili kukomfirm kuwa yuko salama hivyo siku hiyo nikawa in emergence state hasa kuanzia majira ya saa kumi jioni ambapo mechi ilipangwa kuanza.
Kwa mujibu wa jamaa kipindi cha kwanza mambo yakawa shwari kwani goli mbili za fasta na akanisms kuwa hakuna tatizo ingawa demu hajamueleza kasoro yenyewe na wala yeye hajaiona. Basi baada ya mapumziko, maongezi na chakula, kipindi cha pili kikaanza si unajua huwa kuna kubadilsha. Jamaa akaomba kale kastyle ketu, bila hiana demu akampa lakini akamuomba ampake mafuta fulani kwenye reactor,jamaa hakubisha basi baada ya kama kiki 4 hivi demu akaitoa ikulu kubwa na kuipeleka ikulu ndogo,jamaa akashituka na kusita demu akamwambia vipi ? si uliahidi utavumilia kasoro yangu ? basi jamaa ikabidi awe mpole mpaka kipindi chote cha pili na alifanikiwa kufunga magoli mawili tena.
Baada ya mechi ikabidi jamaa amuulize demu kulikoni tena mambo hayo, demu akafunguka kuwa alikuwa na jamaa yake waliependana sana na huyo jamaa yake ndie aliyemuanzishia hako kamtindo na kuwa baada ya uhusiano wao kudumu mwaka na nusu hivi, waliachana lakini tayari yeye demu alishakuwa adicted na kuwa bila hiyo kitu kila mechi yeye hua anaona kama mazoezi tu.
mambo nayoomba kujua ni :-
1. kuwa jambo hili lina madhara yoyote ya kiafya kwa wote wawili ukiachilia ya kisaikolojia na kimaadili ?
2. je kuna tiba ya kuwezesha mtu kuacha adiction hiyo ?mbali na ushauri nasaha ?
wakuu, nawatakia kheri yamwaka 2012 na naomba kutoa hoja!
Kwa kifupi kabisa huyu jamaa yangu tulisoma naye shule moja primary ,A level na sasa chuo ila kozi tofauti. Jamaa alimpenda demu mmoja mzuri tu hapa chuo anayesoma naye kozi moja ila demu yuko nyuma mwaka mmoja. Kwa muono wangu pia, demu ni mzuri sana maana mambo yetu yale yako full na sidhani kama ni fake maana akina dada wengi wa mkoa ule huwa wamejaliwa hayo mambo .
Kufanya stori iwe fupi, jamaa kamsotea demu huyo kwa muda kama wa miezi 7 hivi lakini katika vipindi 2 maana kuna kipindi alikata tama na baadae akarudisha tena majeshi mstari wa mbele. Kipindi cha kwanza ilikuwa no signal kabisa, lakini kipindi cha pili chanel ikakamata lakini kukawa na chenga nyingi kwani demu alikubali lakini akasema ana mashaka kama atadumu nae kwani yeye demu ana kasoro ambayo hakutaka kumwabia jamaa . jamaa baada ya kubembeleza aambiwe kasoro bila mafanikio, akaanza kuhisi kuwa labda demu anazo zote.
Jamani, ni kweli mvumilivu hula mbivu na bandu bandu humaliza gogo. Jumamosi iliyopita demu akakubali mwaliko wa mechi ya kirafiki. Kwa jinsi jamaa alivyokuwa na mashaka akaniambia kila kitu,hadi uwanja wa mpambano na kuniomba nisizime simu na niwe standby maana hajui mambo yatakwendaje na akaniambia ikifika saa moja usiku kabla hajanipigia simu nimcheki ili kukomfirm kuwa yuko salama hivyo siku hiyo nikawa in emergence state hasa kuanzia majira ya saa kumi jioni ambapo mechi ilipangwa kuanza.
Kwa mujibu wa jamaa kipindi cha kwanza mambo yakawa shwari kwani goli mbili za fasta na akanisms kuwa hakuna tatizo ingawa demu hajamueleza kasoro yenyewe na wala yeye hajaiona. Basi baada ya mapumziko, maongezi na chakula, kipindi cha pili kikaanza si unajua huwa kuna kubadilsha. Jamaa akaomba kale kastyle ketu, bila hiana demu akampa lakini akamuomba ampake mafuta fulani kwenye reactor,jamaa hakubisha basi baada ya kama kiki 4 hivi demu akaitoa ikulu kubwa na kuipeleka ikulu ndogo,jamaa akashituka na kusita demu akamwambia vipi ? si uliahidi utavumilia kasoro yangu ? basi jamaa ikabidi awe mpole mpaka kipindi chote cha pili na alifanikiwa kufunga magoli mawili tena.
Baada ya mechi ikabidi jamaa amuulize demu kulikoni tena mambo hayo, demu akafunguka kuwa alikuwa na jamaa yake waliependana sana na huyo jamaa yake ndie aliyemuanzishia hako kamtindo na kuwa baada ya uhusiano wao kudumu mwaka na nusu hivi, waliachana lakini tayari yeye demu alishakuwa adicted na kuwa bila hiyo kitu kila mechi yeye hua anaona kama mazoezi tu.
mambo nayoomba kujua ni :-
1. kuwa jambo hili lina madhara yoyote ya kiafya kwa wote wawili ukiachilia ya kisaikolojia na kimaadili ?
2. je kuna tiba ya kuwezesha mtu kuacha adiction hiyo ?mbali na ushauri nasaha ?
wakuu, nawatakia kheri yamwaka 2012 na naomba kutoa hoja!