Mechi ya Dar Young Africans vs Mamelodi Sundowns yapewa heshima ya siku ya Mudathir aka Muda Day

Umeelewa concept niliyokuwa naijenga?

Au unaandika kubishana?

Mimi sijakataa kuwa basic ya h2h haiiangalii mechi 5 za mwisho.

Mimi nimezungumzia overall

Ili kuweka balance ionekane Mamelodi kacheza mechi 8 sawa na Simba, ukaambiwa upunguze mechi za Mamelodi kufanya idadi ziwe 8 utapunguza mechi za mwisho au za mwanzoni?

Hili ndio swali

Nitapunguza za mwisho
 
Kufungwa kwa aina yoyote hakuna furaha Ila hapa linakuja suala la ubora wa timu hata kama haina bahati. Timu bora ni timu bora saa yoyote inadhihirisha ubora wake.

Timu imecheza vizuri sana, imetengeneza nafasi sana, imekosa magoli sana ni bora kuliko Timu haitengenezi nafasi, imepata nafasi kibahati bahati ikaitumia kupata goli.

Umeshawahi sikia msemo "WAMESHINDA ILA HAWANA AMANI NA TIMU YAO" Mara nyingi huu msemo ni kwa timu inayoshinda kwa kubahatisha, huoni nafasi ikitengenezwa kwa mipango.
Ok kwahiyo kwako timu bora ni tumefungwa ila chenga tumewala,
Tumefungwa ila moto tuliowapelekea watasimulia.
Wakati ukiamini hivyo, wapo wanaoamini timu bora sio inayocheza vizuri bali ni ile inayopata matokeo.
 
Ok kwahiyo kwako timu bora ni tumefungwa ila chenga tumewala,
Tumefungwa ila moto tuliowapelekea watasimulia.
Wakati ukiamini hivyo, wapo wanaoamini timu bora sio inayocheza vizuri bali ni ile inayopata matokeo.
Unajua timu bora ni timu bora. Kama imepoteza sababu ya kutokuwa na bahati kwenye mechi husika au mechi mbili au tatu hata nne huwezi futa ubora wake, wakati wowote inaweza kukuadhibu sababu ni bora na inatengeneza nafasi.

Tofauti na timu mbovu ambayo haitengenezi nafasi ila ina bahati, Ile ni kama kubeti. Roho mkononi.

Simba haiwezi kwenda kumvaa Al hly kama timu mbovu sababu hajawa na bahati ya kufunga katika nafasi nyingi anazotengeneza. Simba inaenda kucheza na timu bora Africa.
 
1711484270301.jpg


Ataitendea haki siku yake?
 
CAF yote inajua mechi yao bora ni ya Ijumaa.

Na ndio maana wameipa heshima kuwa siku hiyo kutakuwa na mechi moja tu.

Kwanini? Kwasababu ndio Derby ya Africa mpaka sasa.

Al Ahly na Simba hakuna mbabe katika mechi zote walizokutana.

Maana yake ulimwengu mzima kwa siku ya Ijumaa ukiwa unataka kuangalia mechi za CAF, utakuwa unatazama mechi moja tu ya Simba dhidi ya Al Ahly.

Baada ya hapo ndio watafuata wacheza makida kujirusha rusha nao kukamilisha ratiba.
Al ahly aliweka rekodi ya kumpiga mtu goli 5 tena kwenye kipindi cha kwanza tu hakika ile ilikuwa rekodi ya kusisimua mno
 
Back
Top Bottom