changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 5,623
- 9,228
Umeelewa concept niliyokuwa naijenga?
Au unaandika kubishana?
Mimi sijakataa kuwa basic ya h2h haiiangalii mechi 5 za mwisho.
Mimi nimezungumzia overall
Ili kuweka balance ionekane Mamelodi kacheza mechi 8 sawa na Simba, ukaambiwa upunguze mechi za Mamelodi kufanya idadi ziwe 8 utapunguza mechi za mwisho au za mwanzoni?
Hili ndio swali
Nitapunguza za mwisho