Mechi ya Dar Young Africans vs Mamelodi Sundowns yapewa heshima ya siku ya Mudathir aka Muda Day

Mamelod vs Al Ahly kwenye champions league wapo sawa H2H ila kwa michezo ya jumla kamzidi Al Ahly kwahiyo hapo kwanza kwa fact hiyo derby ya Africa zipo nyingi tu hivyo ile kauli ya Simba vs Al Ahly ndio pekee hakuna mshindi kwernye H2H sio sahihi.

Ubabe utakuwa ni consistency endapo utaendelezwa huo ubabe kwa msimu huu, ila kwa msimu huu Al Ahly kapoteza CAF super cup vs USMA
kapoteza nusu fainali vs Mamelod
Msimu huu Al Ahly imeonekana kushindwa kupata matokeo mazuri kwa timu zenye kiwango kizuri cha ubora.
Vs USMA
Vs Simba
Vs Mamelod
Vs Belouizdad

Ni timu ambayo imeweza kushinda home and away dhidi ya Medeama pekee katika hatua ya makundi.
Kama ukiangalia mpira wao, sehemu kubwa ya mapungufu yao ni umaliziaji wa nafasi kuwa magoli.
Oi unaizugumzia al ahly ipi au hii hii iliyochukua cafcl msimu jana??? Kwa taarifa yako al ahly ndiye bingwa tena msimu huu. Nimekaa miaka mingi africa takribani 7 yrs nimegundua al ahly hatumii nguvu kubwa ktk hatua ya makund lakn katk hatua za mtoano dadeki nanyi ni mashahidi.hanaga cha mswalia mtume ijumaa ni siku ya ibaada na ahly kaitenga maalum kumaliza kaz ugenn ili kutunza energy hatua inayofuata.karibuni kwetu afganistan kwa sasa tanzania
 
Oi unaizugumzia al ahly ipi au hii hii iliyochukua cafcl msimu jana??? Kwa taarifa yako al ahly ndiye bingwa tena msimu huu. Nimekaa miaka mingi africa takribani 7 yrs nimegundua al ahly hatumii nguvu kubwa ktk hatua ya makund lakn katk hatua za mtoano dadeki nanyi ni mashahidi.hanaga cha mswalia mtume ijumaa ni siku ya ibaada na ahly kaitenga maalum kumaliza kaz ugenn ili kutunza energy hatua inayofuata.karibuni kwetu afganistan kwa sasa tanzania
Umesoma ukaelewa? Al Ahly alikuwa anashindania mataji mangapi na kabakia mangapi?
Kwenye mashindano ya CAF kabakiza klabu bingwa pekee huku akipoteza CAF super cup na African football league. Au unadhani kajikosesha makusudi hayo mataji mengine?
Ishu sio kutumia nguvu nyingi swala ni kwamba Al Ahly kwasasa imekuwa ni timu inayotengeneza nafasi nyingi lakini wanashindwa kuzitumia ipasavyo. Na hata mechi dhidi ya USMA, Mamelod, Simba, Belouizdad na pia dhidi ya Yanga imekuwa ni tatizo hilo hilo. Labda kama mpira hauangalii.
 
Unajua hata ukitoa mechi 6 za mwisho walizokutana ili kuweka mzani sawa wa h2h ya Simba na Al Ahly

Bado Al Ahly atakuwa kashinda mechi 4 wakati Mamelody kashinda mechi 1?

Msimu wa 2020 kushuka chini, Mamelody alishinda mechi moja tu na kuambulia sare 3.

Wakati kwa takwimu hizo upande wa Simba na Al Ahly hakuna mbabe.
Kwanini utoe mechi sita za mwisho badala ya kuchukua mechi sita za mwisho ili uone progress ya H2H ya Al Ahly dhidi ya Mamelod ili ujue muelekeo wa yupi anaenda kuwa kibonde dhidi ya mwenzie?
Hata wanaofanya analysis huwa wanachukua H2H kwa mechi kadhaa za mwisho ni ajabu kwako kuyaweka pembeni ya mwishoni na kuchukua ya enzi hizo.
Umesema tuchumue H2H sita za mwisho sio
1) msimu wa 2023 Mechi 2 Mamelod kashinda 1 sare 1
2) msimu wa 2022 mechi mbili: Mamelod kashinda zote
3) Msimu wa 2021 mechi 2: Al Ahly kashinda 1 sare 1

Kwenye mechi sita za mwisho Mamelod kashinda mara 3 Al Ahly kashinda mara 1 pekee.
 
Kwanini utoe mechi sita za mwisho badala ya kuchukua mechi sita za mwisho ili uone progress ya H2H ya Al Ahly dhidi ya Mamelod ili ujue muelekeo wa yupi anaenda kuwa kibonde dhidi ya mwenzie?
Hata wanaofanya analysis huwa wanachukua H2H kwa mechi kadhaa za mwisho ni ajabu kwako kuyaweka pembeni ya mwishoni na kuchukua ya enzi hizo.
Umesema tuchumue H2H sita za mwisho sio
1) msimu wa 2023 Mechi 2 Mamelod kashinda 1 sare 1
2) msimu wa 2022 mechi mbili: Mamelod kashinda zote
3) Msimu wa 2021 mechi 2: Al Ahly kashinda 1 sare 1

Kwenye mechi sita za mwisho Mamelod kashinda mara 3 Al Ahly kashinda mara 1 pekee.
Kwa hiyo ukiambiwa utoe mechi 6 za Ahly na Mamelodi ili kupata uwiano sawa na H2H ya Simba na Ahly, we ungetoa mechi gani?
 
CAF yote inajua mechi yao bora ni ya Ijumaa.

Na ndio maana wameipa heshima kuwa siku hiyo kutakuwa na mechi moja tu.

Kwanini? Kwasababu ndio Derby ya Africa mpaka sasa.

Al Ahly na Simba hakuna mbabe katika mechi zote walizokutana.

Maana yake ulimwengu mzima kwa siku ya Ijumaa ukiwa unataka kuangalia mechi za CAF, utakuwa unatazama mechi moja tu ya Simba dhidi ya Al Ahly.

Baada ya hapo ndio watafuata wacheza makida kujirusha rusha nao kukamilisha ratiba.
Ila mashabiki wa mikia ni mambumbumbu kweli, mechi kua moja ndio kuipa heshima!?.
 
Africa hii mbabe wa soka ni nani?

Na anacheza lini?

Afrika hii ni timu gani ambayo katika mechi zote za CAF champion league waliyocheza dhidi ya Al Ahly hajapatikana mbabe?

Simba na Al Ahly wamekutana mara 8

Simba kashinda mechi 3, Al Ahly kashinda mechi 3, mechi 2 zimeenda sare.

Huyo ndio bingwa wa Africa dhidi ya Simba.

Mamelody kakutana na Al Ahly mara 14, kafa mara 5 kasare mara 5 na hizo 4 ndio ushindi wake.

Sasa mpaka hapo ukiambiwa utaje Derby ya Afrika kwenye CAF champion league utataja Al Ahly na timu gani tofauti na Simba?
Weka rekodi hapa tuone simba kama kweli kawahi kumfunga Al ahal mara 3, la sivyo utakua kichaa wa pale mwembe hanga.
 
Yanga wakitumia mbinu zile ambazo hutumia Petro de Luanda anaweza kushinda vizuri tu.

Petro de Luanda wanaisumbua sana Mamelodi wakikutana na wanafanikiwa kuifunga Mamelodi.
Kwa hivi Mamelodi wanafungika kama tu timu zingine katika soccer.

Lakini Yanga watumie mbinu zaidi kutumia wasije wakaingia katika mtego wa Mamelodi, Yanga wanaeza kutumia viungo wa pembeni right and left flanks kukimbia kwa haraka katika transition kutanua uwanja kutumia counter bila kuzubaa na kushambulia kupata magoli, kucheza long and accurate pass na viungo wa kati kuvuruga na kuharibu mipango ya Mamelodi.

Yanga wawe makini sana wasichezee sana mipira watumie pira guu la roho, guu la shingo, guu la tembo mana niliota katika ndoto Yanga wamefungwa goli mbili au zaidi, kushtuka ni ndoto lakini ndoto zangu uwa ni kweli.
 
Yanga wakitumia mbinu zile ambazo hutumia Petro de Luanda anaweza kushinda vizuri tu.

Petro de Luanda wanaisumbua sana Mamelodi wakikutana na wanafanikiwa kuifunga Mamelodi.
Kwa hivi Mamelodi wanafungika kama tu timu zingine katika soccer.

Lakini Yanga watumie mbinu zaidi kutumia wasije wakaingia katika mtego wa Mamelodi, Yanga wanaeza kutumia viungo wa pembeni right and left flanks kukimbia kwa haraka katika transition kutanua uwanja kutumia counter bila kuzubaa na kushambulia kupata magoli, kucheza long and accurate pass na viungo wa kati kuvuruga na kuharibu mipango ya Mamelodi.

Yanga wawe makini sana wasichezee sana mipira watumie pira guu la roho, guu la shingo, guu la tembo mana niliota katika ndoto Yanga wamefungwa goli mbili au zaidi, kushtuka ni ndoto lakini ndoto zangu uwa ni kweli.
Ushauri mzuri sana
 
Umesoma ukaelewa? Al Ahly alikuwa anashindania mataji mangapi na kabakia mangapi?
Kwenye mashindano ya CAF kabakiza klabu bingwa pekee huku akipoteza CAF super cup na African football league. Au unadhani kajikosesha makusudi hayo mataji mengine?
Ishu sio kutumia nguvu nyingi swala ni kwamba Al Ahly kwasasa imekuwa ni timu inayotengeneza nafasi nyingi lakini wanashindwa kuzitumia ipasavyo. Na hata mechi dhidi ya USMA, Mamelod, Simba, Belouizdad na pia dhidi ya Yanga imekuwa ni tatizo hilo hilo. Labda kama mpira hauangalii.
Timu yenye uwezo wa kutengeneza nafasi nyingi ni ya kuiogopa, saa yoyote chochote kinatokea.
 
Kwa hiyo mechi 6 za mwisho walizokutana dio utaziondoa ili kupata uwiano?
Kwani kwa kawaida H2H inaanza kuhesabiwa tokea wapi hadi wapi?
Mimi nachojua H2H inaanza kuhesabiwa tokea mara ya mwisho kukutana kurudi chini. Ukitafuta head 2 head za Al Ahly vs Memolod utaona wanaanza kuhesabia game yao ya mwisho kisha ndipo wanarudi nyuma.
 
Back
Top Bottom