Oi unaizugumzia al ahly ipi au hii hii iliyochukua cafcl msimu jana??? Kwa taarifa yako al ahly ndiye bingwa tena msimu huu. Nimekaa miaka mingi africa takribani 7 yrs nimegundua al ahly hatumii nguvu kubwa ktk hatua ya makund lakn katk hatua za mtoano dadeki nanyi ni mashahidi.hanaga cha mswalia mtume ijumaa ni siku ya ibaada na ahly kaitenga maalum kumaliza kaz ugenn ili kutunza energy hatua inayofuata.karibuni kwetu afganistan kwa sasa tanzaniaMamelod vs Al Ahly kwenye champions league wapo sawa H2H ila kwa michezo ya jumla kamzidi Al Ahly kwahiyo hapo kwanza kwa fact hiyo derby ya Africa zipo nyingi tu hivyo ile kauli ya Simba vs Al Ahly ndio pekee hakuna mshindi kwernye H2H sio sahihi.
Ubabe utakuwa ni consistency endapo utaendelezwa huo ubabe kwa msimu huu, ila kwa msimu huu Al Ahly kapoteza CAF super cup vs USMA
kapoteza nusu fainali vs Mamelod
Msimu huu Al Ahly imeonekana kushindwa kupata matokeo mazuri kwa timu zenye kiwango kizuri cha ubora.
Vs USMA
Vs Simba
Vs Mamelod
Vs Belouizdad
Ni timu ambayo imeweza kushinda home and away dhidi ya Medeama pekee katika hatua ya makundi.
Kama ukiangalia mpira wao, sehemu kubwa ya mapungufu yao ni umaliziaji wa nafasi kuwa magoli.