Hebu toa taarifa elekezi;mdogo wako(kama kweli) anasoma wapi,anasomea nini,ameolewa au bado,namba ya simu,ana umri gani hizo ni taarifa muhimu kuliko picha.Anywayanaonekana mtulivu na amepoa kwa nje!!!mna uhakika wa kupata ng'ombe kadhaa hapo
Bi Mkora, kwanza jina lako nimelikubali, ungepata picha ya bimkora orijino ukai-avatar ingekuwa poa sana!
Sasa hizo picha za mdogo wako mbona hujazibandika zote? Hiyo sereies naifahamu; kuna picha zinamisi hapo teh teh, kama unaogopa kuzibandika hapa ni-pm bana! au zirushe kwenye amoebazone@gmail.com
hivi nauliza kwaninin wanawake wanakubali kupigwa picha katika hali kama hiyo ? hivi mwanaume anapokwambia nikupige picha katika hali kama hiyo wewe mwanamke unawaza nini kukubali?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.