William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
It is a very good idea.lakini je do we think kwamba watanzania wanachagua mtu anayejua kujieleza au wana vigezo vyao vingine?Kwa sasa Tz hatujafikia hali ya kufanya midhahalo kwa wagombea wetu kwani mpaka sasa ninavyoandika tayari watu wanajua watamchagua nani bila kujali anajua kujieleza ama la.Hayo ya midahalo labda kwenye siku za usoni lakini sio sasa ni kupoteza muda tu.
- Mkuu GS, ninakubaliana na wewe kwa 100%!
Respect.
FMEs!