Mdahalo wa kukata na shoka

Dr wa ukweli

JF-Expert Member
Feb 28, 2011
900
264
Salaam kwenu wote,

Napenda kuwatangazia kwamba Vox Media na East Africa Business and Management Training Institute wameandaa tena mdahalao Jumamosi ijayo utakohusu ubinafsishaji wa UDA. Washiriki watakuwa Dr. Didas Masaburi (Meya), Mkurugenzi wa Simon Group, na tunatarajia pia kuwa na wabunge wa dar es Salaam au mwakilishi wao. Mahali ni Movenpic Hotel na mdahalo utarushwa moja kwa moja na Star TV kuanzia saa kumi na mbili jioni hadi mbili kasoro dakika kumi usiku. Wanaohitaji kadi wawasiliane na Juvenalis Ngowi (0784 265072).

Tanzania tunaitaka itawezekana kwa aina hii ya uuzaji? Karibu uulize na kutoa dukuduku lako
 
Honestly mimi sio muumini wa hii Midahalo ya kila siku, SIONI UMUHIMU WAKE. pamoja na kuwepo na Midahalo hii kila siku, Nchi hii bado ni Masikini, hatuna Umeme, Tunaibiwa kifisadi n.k
Tunataka sasa kila mmoja kwa nafasi yake atimize wajibu wake ili tutoke hapa tulipo.
 
KWanini Wasimuhite na Mh Mzindakaya na aliyekuwa Mkurugenzi mkuu wa UDA? maana hao ndo wadau wakuu wa hii issue ya UDA ili tuweze kubalance maneno kati yao?
 
Salaam kwenu wote,

Napenda kuwatangazia kwamba Vox Media na East Africa Business and Management Training Institute wameandaa tena mdahalao Jumamosi ijayo utakohusu ubinafsishaji wa UDA. Washiriki watakuwa Dr. Didas Masaburi (Meya), Mkurugenzi wa Simon Group, na tunatarajia pia kuwa na wabunge wa dar es Salaam au mwakilishi wao. Mahali ni Movenpic Hotel na mdahalo utarushwa moja kwa moja na Star TV kuanzia saa kumi na mbili jioni hadi mbili kasoro dakika kumi usiku. Wanaohitaji kadi wawasiliane na Juvenalis Ngowi (0784 265072).

Tanzania tunaitaka itawezekana kwa aina hii ya uuzaji? Karibu uulize na kutoa dukuduku lako

Hawa Vox Media nao wanatumia masaburi kufikiri, suala hili sasa hivi linachunguzwa na TAKUKURU na kamati ya bunge, kuendelea kulijadili hadharani ni kuingilia uchunguzi. Nadhani woote walioandaa huu mdahalo hawana hata chembe ya uelewa wa sheria ya kupambana na kuzuia rushwa.
 
Jamani mimi siamini kama huu mjadala kweli upo, yaani mambo ya kiutendaji yawekewe mjadala? sijaelewa labda jamani, kuna mada nyingine au mada ndio hio ya kuulizana jinsi walivyoshiriki kutuibia? au ni mjadala wa kutiana vidole machoni? mmh na-doubt credibility ya huu mjadala...ni ulewea wangu tu wala si ugomvi wala maslahi na mjadala wa jinsi hio.
 
Hawa Vox Media nao wanatumia masaburi kufikiri, suala hili sasa hivi linachunguzwa na TAKUKURU na kamati ya bunge, kuendelea kulijadili hadharani ni kuingilia uchunguzi. Nadhani woote walioandaa huu mdahalo hawana hata chembe ya uelewa wa sheria ya kupambana na kuzuia rushwa.
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Takukuru si mahakama, bunge halizuii kujadili lolote nje ya bunge for any circumustance. BRAVO VOX MEDIA. MAXIMMUM RESPECT
 
Jamani mimi siamini kama huu mjadala kweli upo, yaani mambo ya kiutendaji yawekewe mjadala? sijaelewa labda jamani, kuna mada nyingine au mada ndio hio ya kuulizana jinsi walivyoshiriki kutuibia? au ni mjadala wa kutiana vidole machoni? mmh na-doubt credibility ya huu mjadala...ni ulewea wangu tu wala si ugomvi wala maslahi na mjadala wa jinsi hio.

Tunataka Mdahalo kati ya presidaa na Kiongozi wa kambi ya upinzani Bungeni!!
 
Salaam kwenu wote,

Napenda kuwatangazia kwamba Vox Media na East Africa Business and Management Training Institute wameandaa tena mdahalao Jumamosi ijayo utakohusu ubinafsishaji wa UDA. Washiriki watakuwa Dr. Didas Masaburi (Meya), Mkurugenzi wa Simon Group, na tunatarajia pia kuwa na wabunge wa dar es Salaam au mwakilishi wao. Mahali ni Movenpic Hotel na mdahalo utarushwa moja kwa moja na Star TV kuanzia saa kumi na mbili jioni hadi mbili kasoro dakika kumi usiku. Wanaohitaji kadi wawasiliane na Juvenalis Ngowi (0784 265072).

Tanzania tunaitaka itawezekana kwa aina hii ya uuzaji? Karibu uulize na kutoa dukuduku lako

Tanzania tunawafanyiwa mdahalo watuhumiwa wa makosa ya jinai badala ya kuwafikisha mahakamani? Huu ni ubaguzi wa matumizi ya sheria uliopitiliza; maana mlalahoi akifanya kosa dogo tuu hata la kumega makusanyo ya ushuru wa soko wa lisaa limoja atafikishwa mahakamani lakini wengine Mara CAG, Takukuru, DPP wachunguze mara POAC waunde kamati kuchunguza na sasa mdahalo. Wengine tungependa tusiwe sehemu ya jamii inayofanya haya madudu lakini hatuna pa kwenda
 
Mdahalo mzuri kuandaa ni kati ya tundu lissu na jakaya mrisho kikwete................................huo mimi ukiwepo haijalishi ntakuwepo wapi lazima lakini sio huo ambao watu wamedhulumiana madili yao wanalaluana hadharani................................
 
Hapa napata Shida kidogo,inakuwaje Masaburi na Mkurugenzi Simon Group ndio wawepo hapo kama waongoza mdahalo? Si ndio waliuziana hawa mh! bado cpayi connection.
 
Hapa napata Shida kidogo,inakuwaje Masaburi na Mkurugenzi Simon Group ndio wawepo hapo kama waongoza mdahalo? Si ndio waliuziana hawa mh! bado cpati connection.
 
Salaam kwenu wote,<br />
<br />
Napenda kuwatangazia kwamba Vox Media na East Africa Business and Management Training Institute wameandaa tena mdahalao Jumamosi ijayo utakohusu ubinafsishaji wa UDA. Washiriki watakuwa Dr. Didas Masaburi (Meya), Mkurugenzi wa Simon Group, na tunatarajia pia kuwa na wabunge wa dar es Salaam au mwakilishi wao. Mahali ni Movenpic Hotel na mdahalo utarushwa moja kwa moja na Star TV kuanzia saa kumi na mbili jioni hadi mbili kasoro dakika kumi usiku. Wanaohitaji kadi wawasiliane na Juvenalis Ngowi (0784 265072).<br />
<br />
Tanzania tunaitaka itawezekana kwa aina hii ya uuzaji? Karibu uulize na kutoa dukuduku lako
<br />
<br />
Upuuzi mtupu. Ni nani huyu anaewapa watuhumiwa uwanja wa kuleta propaganda zao wakati vyombo vya dola na Bunge vinawachunguza? Waziri mkuu katoa agizo la uchunguzi, watuhumiwa wanaenda kumjibu kabla ya vyombo alivyoviagiza havijampa ripoti.
Hili linawezekana tu kwa nchi zisizokuwa na serikali kama ya kwetu. Ngoja wapate coverage ili watimize lengo lao la kuwatusi wanaowachunguza. Wabunge waliambiwa wanafikiri kwa kutumia makalio na sasa ni zamu ya waziri mkuu kupata stahiki yake.
.
 
Salaam kwenu wote,

Napenda kuwatangazia kwamba Vox Media na East Africa Business and Management Training Institute wameandaa tena mdahalao Jumamosi ijayo utakohusu ubinafsishaji wa UDA. Washiriki watakuwa Dr. Didas Masaburi (Meya), Mkurugenzi wa Simon Group, na tunatarajia pia kuwa na wabunge wa dar es Salaam au mwakilishi wao. Mahali ni Movenpic Hotel na mdahalo utarushwa moja kwa moja na Star TV kuanzia saa kumi na mbili jioni hadi mbili kasoro dakika kumi usiku. Wanaohitaji kadi wawasiliane na Juvenalis Ngowi (0784 265072).

Tanzania tunaitaka itawezekana kwa aina hii ya uuzaji? Karibu uulize na kutoa dukuduku lako
Mdahalo ni mzuri. ila nisingependa mdahalo huo ufanyike kipindi hiki wakati sakata liko mikononi mwa kamati ya Bunge inayochunguza tuhuma hiyo. Let Vox wait till further notice, if you have their contuct please advise them accordingly!!!. Thanks.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom