isoko
Senior Member
- Jan 2, 2012
- 190
- 26
Nigekuwa Pinda, hiyo nafasi nisingeikubali tena. Nina wasiwasi hata Lowasa atakuwa "aliingizwa town"
kweli kabisa PM angetumia busara akaachia ngazi nafasi hiyo hatoshi
Nigekuwa Pinda, hiyo nafasi nisingeikubali tena. Nina wasiwasi hata Lowasa atakuwa "aliingizwa town"
Kama tunataka ku-deal na tatizo la ufisadi na uwajibikaji wa mawaziri, suluhisho sio kubadilisha Baraza au kuleta awamu nyingine ya CCM, bali ni kuleta utawala mpya kabisa wa chama tofauti. Chama tofauti kikiingia kina jeuri ya kufumua uozo wote uliofanywa zama za Mwinyi, Mkapa, na JK. Lakini kama ni mawaziri wa CCM, tusitegemee lolote la maana.
Ufisadi wote mkubwa unaofanyika, una mikono ya Ikulu. Ufisadi mkubwa uliofanyika zama za Mkapa, JK ameshindwa kushughulikia, maana akisema ashughulikie mwisho wa siku Mkapa na watu watakwenda Segerea na JK hayuko tayari hilo. Hata akija mwingine yeyote kutoka CCM, stori itakuwa ni hiyo. Mawaziri wakipewa "ulaji" [wakiteuliwa] wanaendeleza ufisadi kwa kuwa wanaamini kwamba yeyote mwingine atakayekuja kuteuliwa hatakuja kufunua mdomo kumwangamiza, so wanaendelea kutafuna kama mchwa au dumuzi (scania).
Nimeuliza hili kwa sababu dalilii ya kukamilika kwa illusion kunakaribia! Kwamba, wataingia wengine na WM atabakia, JK atabakia na tutaambiwa "tuwape nafasi" na kuwa "hawa wanafaa"!!!
hivi wewe huchoki?
hivi wewe huchoki?
Ulishawahi kuisikia nyimbo ya zamani ya Kiunguja "fitina mbaya wala hana haya".
Mwenye kilema na mapungufu yake hayaachi, huyu ni fataani ambae hana uwezo wa kujionesha hata sura yake, anajificha nyuma ya keyboard yake akifitinisha watu kila kukicha.
Analysis zangu, kwa huyu kaka/dada anaejiita mzeemwanakijiji:
Ni mtu mfupi sana, aliyeshindwa kufanikiwa kimaisha na ana hamu ya makubwa ambayo hawezi kuyafikia kwa kuwa hana mvuto kimwili na ki personality, huwa hana mwanamke kama ni mwanamme na hana mwanamme kama ni mwanamke. Hana urafiki na hana mazowea ya kutembelea au kutembelewa na watu. Ni tu mpweke sana kwa kuwa hajiamini kutokana na kujiona kuwa hana mvuto kimaumbile. Ni mtu ambae alikuwa "abused" utotoni amma sexually amma physically na alikuwa hapewi nafasi ya kuwekwa bila uoga na walezi wake, kitu kilichomfanya mpaka leo achukie kila mwenye mafanikio kwani anadhani kuwa yeye anajuwa zaidi ya wengine ila tu kajijengea pazia la kutojiamini kutokana na maumbile yake. Amma ana kifaa kidogo sana kama ni mwanamme amma ana shimo kubwa sana kama ni mwanamke.
Njia pekee ni kufitinisha kila anaemuona ana jina na mafanikio. Watu kama huyo huwa hawachoki mpaka siku ya kufa na hakuna wanachofanikiwa.
Kimbunga: Kwa maelezo yako sasa naona Waziri mkuu atawekwa rehani ambayo itakuwa inapanda bei kadri tunavyoelekea 2015, tutarajie misuguano zaidi ndani ya CCM ikisaidiwa na nguvu ya umma, wabunge hawawezi kukaa kimya wakiona wanainchi wanazidi kuwa hoi kisa wao wanatoka upande wa CCM, Wengi wao wamepita kwa taaabu sana na CCM yao toka majimboni kwao hilo wanalijua vizuri tu, hivyo hawatakubali 2015 kazi iwe kubwa mara mbili na amini maneno yangu kabla ya uchaguzi wa 2015 upinzani utavuna mavuno makubwa sana mpaka watakosa maghala.
Naona System Ndio Tatizo!! sisi wenye nchi Tunachotaka na Hawa Wahujumu Uchumi Tuwaone wakifuatiliwa na Takukuru na Kwenye Mahakama wakijibu tuhuma zao!! Sio watu waendelee Kuponda Mali walizochuma Kifisadi (usd 410,000 kwa miezi 16!!!!!) Halafu tusema kubadilisha inatosha!! That is a joke!!
Pia waziri Mkuu ameprove failure ya kuwasimamia mawaziri wenzake na sioni sababu yoyote ya yeye Kuendelea Kuwepo
Tumkumbuke mzee wa kararacha alionjeshwa Unaibu mkuu kidogo ila alifanya wonders!! Sasa iweja kwa huyu full Waziri Mkuu unashindwa Hata kuwajibisha mkurugenzi wa Halmashauri? Kuna Haja gani sasa ya Huyu Mtendaji?
walipokwama ni kwamba kuna mahala ipo sheria aidha ya uchaguzi au katiba kwamba baraza la mawaziri likishavunjwa mara mbili basi waziri mkuu wa tatu atatoka katika chama kilichoshinda uchaguzi mkuu wa mwisho nafasi ya pili mpo hapo?ndo hapo magamba wanapoona kama wamebeba gunia la misumari kichwani na hao mawaziri wapya anawateua toka wapi maana rais alikuwa na nafasi saba kisheria na tatu alishatumia wanaotakiwa kutolewa mawaziri nane!! Tunafanyaje? Wanaoelewa zaidi watuelimishenimeuliza hili kwa sababu dalilii ya kukamilika kwa illusion kunakaribia! Kwamba, wataingia wengine na wm atabakia, jk atabakia na tutaambiwa "tuwape nafasi" na kuwa "hawa wanafaa"!!!
Bado nabaki kuamini kuwa huyu PM tuliyenae bado ni mzigo mzito sana TZ..i mean..the guy has no guts yaani.....yupo yupo tu...anaomba muda wake ufike apate haki zake za kustaafu apumzike....hana jipya Pinda.....na ndio sababu hata mawaziri wanajifanyia wanavyotaka maana hawafatiliwi na PM....yeye Pinda anaganga njaa tu muda wake uishe....bado naamini kama JK atataka aone mabadiliko ya utendaji wa mawaziri wake...yabidi aanze kwa kumuondoa PM....amweke PM mkora atakae deal na mawaziri ipasavyo..i mean mtu type ya Magufuli......mtu asiye na mzaha mzaha..maana Pinda hana kauli yaani.....watu hili wanatakiwa walijue...pamoja na kwamba si mwizi...lakini he is too slow...we need a very firm PM...atakae deal na mawaziri wazembe immediately......Pinda hana hiyo jeuri...you can see it in him......mifano tunayo mingi sana tu....refer kilio chake bungeni...kwenye issue ya albino....au issue ya jairo..au madaktari walivyomtoa jasho......Pinda is a very very weak PM........Badala ya kuvunja baraza kama wengine wanavyotarajia au kutegemea Rais anaweza kufanya tu mabadiliko makubwa (major reshuffling) ambayo yatagusa karibu wizara zote lakini yasimguse Waziri Mkuu. Hii itakuwa ni katika kuonesha kuwa ana imani na Waziri wake Mkuu lakini hana imani na mawaziri wengine na itakuwa ni njia rahisi ya kupunguzia serikali mzigo wa kikao cha Bunge kumpitisha Waziri Mkuu mpya au kutengeneza WM wa zamani ambaye ataanza kupata mafao ya ki-waziri mkuu mapema zaidi kuliko kama angeachwa kumaliza ngwe nzima.
Najiuliza zaidi kuwa kama WM ataachwa kura ya kutokuwa na imani naye bado itaendelea kwani ilikuwa predicated na wazo kwamba mawaziri wakijiuzulu au kuondolewa basi WM hatopigiwa kura ya kutokuwa na imani naye...?
Wenye akili zao wanajadili ISSUES Wewe na mwenzako mpo busy mnamjadili mwanaume, eti mfupi hana mke.....kama mbataka mchumba nendeni facebook mtapata.
Utumwa mwa fikra ni mbaya sana.
Wakijiuzulu wote halafu PM akateuliwa yuleyule bunge litafanya nini?