MDAHALO WA IJUMAA: Waziri Mkuu akiachwa na wengine kubadilishwa itaridhisha?

Nilimuona Mh. Tundu Lissu kwenye habari jana akisema kuwa hakuna haja ya kuendelea na serikari nzima mpaka 2015 huku tukiona kuwa ni 'unproductive' kwa vile hii sheria ya kuwa na uchaguzi au serikari ileile kwa miaka miatano haiko kwenye Vitabu Vitakatifu.

Yawezekana katika mawazo yote hili liko valid zaidi japo gharama yake ni kubwa lakini hivi sasa serikali hii inatengeneza hasara ambayo ni kubwa kuliko hizo gharama!
 
Mkuu vipik2 hayo mavuno hakika yatakuwepo kuelekea 2015 kama CCM hawatafanya radical reengineering kwenye chama na serikali ili angalau hii miaka 3 iliyobaki CCM itengemae japo kidogo. Mavuna yameanza kwa kuwa ukiona kuna uasi wa wabunge ujue kabisa kwamba Party Caucus ambayo tuliizoea kuzima baadhi ya hoja imeshindwa kufanya kazi. Ukiona badala ya hoja kunakuja vitisho kwamba nikifika Dodoma mtanitambua basi ujue mavuno yanasubiri kuingia tu ghalani.

Lakini CCM bado wana nafasi ya kujitengeneza isiwe sikio la kufa halisikii dawa.

Ndugu yangu..."SIKIO LA KUFA HALISIKII DAWA" Subiria kichekesho hapo Baraza la mawaziri litakapotangazwa
 
sioni mtu safi wa kuingia ktk baraza la mawaziri kati ya wabunge wa ccm waliobaki,kuna walikwisha furunda kama mzee wa wa ndege ya rais na vijisent na wengine si maswaiba wa boc wa magogoni.ndipo wazo la mawaziri kuto kuwa wabunge linapokuwa la muhimu. jamaa ataokoteza uozo uleule na mwingine ukawa mbaya zaidi. sioni jipya litalotokea zaidi ya kuongezeka kwa fitina.

kama wm atatoka pengine ataekuja atakuwa na uoga kidogo ili tu amalize muda uliosalia vinginevyo ni commedy .......
 
Je, watakaoteuliwa hawawezi kufanya ufisadi?

Ngereja kabla ya kuteuliwa kuwa Waziri alipiga kelele sana kuhusu extension ya mkataba wa TICTS, na alimpiga madongo mazito Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi zama hizo. Few years later, na yeye amekuwa fisadi na si ajabu ni fisadi kuliko hata huyo Waziri wa wakati huo.

Mkuu, JK akiwa serious kwa kufilisi mali zao, na kuwapeleka mahakamani wakahukumiwa na kupelekwa lupango; hiyo itawatia adabu watakao teuliwa kwamba JK si mchezo, bila kufanya hivyo tutaishia ku-re-invent the WHEEL.
 
Kubadilisha baraza la mawazili bila kuchunguza na kubadilisha mfumo mzima wa uendeshaji wa serikali yetu ni mabadiliko ya kinadharia tu,theory za wizi bado ziko palepale.

KWA KUWA ASILIMIA 70 YA MATUMIZI YA SERIKALI YAPO TAMISEMI NADHANI WAZIRI MKUU MWINGINE AKILETWA ASHUGHULIKIE NA WAZIRI HUYO WA TAMISEMI NA KURUGENZI ZA KISEKTA ZIWE CHINI YAKE NA MAWIZARA MENGINE YAWEKWE OFISI YA RAISI OFISI YA MAKAMU WA RAISI AONGEZEWE WIZARA ILI AWE BIZE KWANI KUMPA WIZARA MBILI TU HAINA MAANA HATA JAMBO LENYEWE LA MUUNGANO KWENYE KATIBA MPYA TUMEAMBIWA TUSIJADILI KWA HATA YEYE SASA AANZE KUSIMAMIA BAADHI YA WIZARA ZA KISEKTA NADHANI BARAZA HILILIKAE KWA MUUNDO HUU YALE MAWIZARA YATAYOFUTWA WATUMISHI WAKE WAENDE KWENYE HALMASHAURI NA WALE WA HALMASHAURI WAKAIMALISHE UTAWALA WA KATA BILA KUWA NA MAMLAKA YA KUIDHINISHA MATUMIZI YA PESA WAWE WASAIDIZI KUSIMAMIA MIPANGO YA SERIKALI NGAZI YA KATA.
RAIS
KATIBU MKUU KIONGOZI
IGP
MKURUGENZI USALAMA WA TAIFA
MKUU WA MAJESHI NA UZALENDO
CAG
DCCCI
AG
DPP
CDAP
MHASIBU MKUU WA SERIKALI
WAZIRI WA NCHI OR UTAWALA BORA NATAWALA ZA MIKOAWIZARA YA NCHI OR FEDHA UCHUMI NA MIPANGO
WAZIRI WA NCHI OR SERA NA MAHUSIANO KITAIFA NA URATIBU BUNGE
ITAJAZWA
WAZIRI WA NCHI OR MAMBO YA NDANI
WAZIRI WA NCHI OR MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA
WAZIRI WA NCHI OR ULINZI NA UZALENDO KWA TAIFA

OFISI YA MAKAMU WA RAIS


WAZIRI WA NCHI OMR MAZINGIRA NJAAMAAFA NA UKIMWI
WAZIRI WA NCHI OMR AFYA NA USTAWI WA JAMII
WAZIRI WA NCHI OMR MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA WATOTO
WAZIRI WA NCHI OMR MAMBO YA MUUNGANO
WAZIRI WA NCHI OMR ARDHI NYUMBA NAMAENDEELEO YA MAKAZI

WAZIRI MKUU
NAIBU WAZIRI MKUU
WAZIRI NCHI OWM SERIKALI ZA MITAA
KURUGENZI MIUNDO MBINU NA UCHUKUZI
KURUGENZI UTAMADUNI MALIASILI NA UTALII
KURUGENZI ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI
KURUGENZI YA MAJI NA UMWAGILIAJI
ITAJAZWA
KURUGENZI YA FEDHA UCHUMI NA UDHIBITI
ITAJAZWA
KURUGENZI YA MAENDELEO YA MIFUGO
KURUGENZI YA KILIMO CHAKULA NA USHIRIKA NA MSOKO
KURUGENZI YA VIWANDA BIASHARA NA UWEKEZAJI
KURUGENZI YA KAZI AJIRA NA MAENDELEO YA VIJANA NA MICHEZO
WAZIRI WA MAMBO YA NJE

NAIBU WAZIRI MAMBO YAAFRIKA MASHARKI
NAIBU WAZIRI UHUSIANO KIMATAIFA

WAZIRI NISHATI NA MADINI
[h=1] [/h][h=1]NAIBU WAZIRI MADINI[/h][h=1] [/h][h=1]NAIBU WAZIRI NISHATI[/h][h=1] [/h]

WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA



NA MAWAZIRI WATAKAOINGIA BARAZA LA MAWAZIRI IKULU WASIZIDI HAO NILIONDIKA KWA RANGI NYEUSI.​
 
Back
Top Bottom