mh Tundu Lisu,amenifurahisha sana alipotamka waziwazi mabadiliko ya kumi ya katiba ya Zanzibar iliyoweka serikali ya umoja wa kitaifa,imeuwa upinzani kwa kwa CUF kuunda serikali pamoja na mabwana zao CHAMA CHA MAGAMBA.
Mhh.mnyaa anabisha hili,
wadau nawasilisha
Mhh.mnyaa anabisha hili,
wadau nawasilisha