Wakati tunazidi kusubiri hzo selection naomba tujadili hili md na bachelor ya pharmacy hipi ngumu na hipi inalpa. Hapo juu sio vyuo vyote vyenye coz tajwa especialy b.pharmacy lakn wadau n wale wale tu na ninaomba wataalam wajarbu kuweka cotent za coz husika.
Pitia thread za nyuma utaona majibu,au search sina muda wa kujadili kitu kimoja over an over!
mwambie akupe link yake ili uisome kama vipi huwa mtu akuambia ilishaongelea afu haweki link ya hicho kitu..