Habari za uhakika toka kwa ndugu wa mchugaji John Jackson aliyejeruhiwa ktk vurugu za kidini huko Mto wa Mbu,amefariki leo asubuhi ktk hospitali ya KCMC mjini Moshi.
Alipelekwa KCMC wiki iliyopita toka ktk hospitali ya mkoa wa Arusha, Mount Meru Hospital baada ya ndugu zake kuona hali yake inazidi kuwa mbaya.
Anatarajiwa kuzikwa kesho huko Same,mkoani Kilimanjaro.
Alipelekwa KCMC wiki iliyopita toka ktk hospitali ya mkoa wa Arusha, Mount Meru Hospital baada ya ndugu zake kuona hali yake inazidi kuwa mbaya.
Anatarajiwa kuzikwa kesho huko Same,mkoani Kilimanjaro.