Mchungaji wa Vurugu za kidini Mto wa Mbu Amefariki

timbilimu

JF-Expert Member
Sep 2, 2010
4,866
1,518
Habari za uhakika toka kwa ndugu wa mchugaji John Jackson aliyejeruhiwa ktk vurugu za kidini huko Mto wa Mbu,amefariki leo asubuhi ktk hospitali ya KCMC mjini Moshi.

Alipelekwa KCMC wiki iliyopita toka ktk hospitali ya mkoa wa Arusha, Mount Meru Hospital baada ya ndugu zake kuona hali yake inazidi kuwa mbaya.

Anatarajiwa kuzikwa kesho huko Same,mkoani Kilimanjaro.
 
Habari za uhakika toka kwa ndugu wa mchugaji John Jackson aliyejeruhiwa ktk vurugu za kidini huko Mto wa Mbu,amefariki leo asubuhi ktk hospitali ya KCMC mjini Moshi. Alipelekwa KCMC wiki iliyopita toka ktk hospitali ya mkoa wa Arusha, Mount Meru Hospital baada ya ndugu zake kuona hali yake inazidi kuwa mbaya. Anatarajiwa kuzikwa kesho huko Same,mkoani Kilimanjaro.

athari za udini unaopendwa na kushabikiwa na ccm pamoja na asasi zake za ki-intelejensia,.....
 
OMG,,,RIP mchungaji, huu ni ukatili na wote waliohusika lazima wachukuliwe sheria kwani wamesababisha kifo cha mchungaji kwa kumpiga, nafahamu sio waislam wote ni wakulaumiwa ila lazima nyie Maimam na Masheikh muwafundishe waumini wenu neno UPENDO hata kama kunakutafsiriwa vibaya kwa kitabu chenu Quran!

Bora muwe na msingi wa phylosophy ya dini yenu kuwaongoza katika kila jambo, mbona Wakristo hawafanyi vurugu?

Jiulizeni ni kwanini na japo huwa mara nyingi dini hii mnaikashifu!
Kama hamtopata jibu, basi elewa phylosophy ya Wakristo ni UPENDO!
 
Mungu ailaze Roho yake Peponi....Amina
Mungu aiguse mioyo ya wote waliofanya hili jambo ili watubu...AMina
Mungu arudishe upendo yumkini uliotoweka mjini mto wa mbu...Amina
Mungu aondoe kila namna ya udini unaoleta mifarakano ....Amina
Mungu afunike anga la mto wa mbu amani irudi kama mwanzo...Amina
Mungu awafundishe wote waliofanya jambo hilo kweli yake...Amina
Mungu awafundishe wote wanaoleta machafuko ya kidini...Amina

Na alaaniwe atakayekasirika baada ya kusoma maneno haya
 
Inasemekana baadhi ya vijana wa Kiislamu walioshiriki ktk vurugu za Mto wa Mbu walitokea mjini Arusha!
 
hizo ni athari za uislam, maana ndo walioua!

Nadhani ni vema tukafahamu pia nini kilitokea kikasababisha vurugu kabla ya kulaumu waislamu ili tuweze kujipanga vema ili siku za baaadae balaa kama hili likatokea. Kama magazeti yaliripoti ukweli walisema kuwa hawa jamaa waliitukana koran....kama ni kweli hapa pala la kujifunza. Kwanza siwaungi mkono wahubiri ambao wakiwa majukwaani badala ya kumtangaza "BWANA WETU YESU KRISTO' wa hushupalia kusimanga imani za watu wengine ikiwemo uislamu.....jamani ni kweli ndio agizo alilotuachia BWANA YESU KRISTO...INJILI NI NINI? NI KUSHAMBULIA DINI ZA WENGINE??? kwa maoni yangi si kweli...tusiache misingi ya imani.....kwa kufanya hayo hatuwasaidii tunaowahubiria bali tunatupa watu mbali zaidi....ni approach ya kishamba na isiyo na tija kutangaza HABARI NJEMA KWA KUTUKANA WENGINE
PILI.....kwa kusema haya simaanishi kuwa walistahili kufanyiwa furugu no lakini walijiweka katika hatari ya mashambulizi yasiyo ya lazima
TATU....Je ndugu zangu waislam kweli hakukuwa na njia mbadala ya kufanya baada ya hili tukio zaidi ya kufanyavurugu.....mna maan kuwa popote tukisikia mihadhara inayo tukana imani ya kikristo nasi tuchukue mapanga? patakalika kweli.....TAFAKARI
mix with yours
 
Mungu ailaze Roho yake Peponi....Amina
Mungu aiguse mioyo ya wote waliofanya hili jambo ili watubu...AMina
Mungu arudishe upendo yumkini uliotoweka mjini mto wa mbu...Amina
Mungu aondoe kila namna ya udini unaoleta mifarakano ....Amina
Mungu afunike anga la mto wa mbu amani irudi kama mwanzo...Amina
Mungu awafundishe wote waliofanya jambo hilo kweli yake...Amina
Mungu awafundishe wote wanaoleta machafuko ya kidini...Amina

Na alaaniwe atakayekasirika baada ya kusoma maneno haya

Loh,
Hapo kwenye red umefanya watu washindwe kuitikia ....ameen, ni neno kali na zito saana.
 
hizo ni athari za uislam, maana ndo walioua!

OMG,,,RIP mchungaji, huu ni ukatili na wote waliohusika lazima wachukuliwe sheria kwani wamesababisha kifo cha mchungaji kwa kumpiga, nafahamu sio waislam wote ni wakulaumiwa ila lazima nyie Maimam na Masheikh muwafundishe waumini wenu neno UPENDO hata kama kunakutafsiriwa vibaya kwa kitabu chenu Quran!
Bora muwe na msingi wa phylosophy ya dini yenu kuwaongoza katika kila jambo, mbona Wakristo hawafanyi vurugu? Jiulizeni ni kwanini na japo huwa mara nyingi dini hii mnaikashifu!
Kama hamtopata jibu, basi elewa phylosophy ya Wakristo ni UPENDO!

Kuweni makini ndugu zangu mnapotoa comment kuhusu maswala ya kidini.
Mnaweza kujikuta hamsolve bali mnaongeza chuki.
 
CCM wameshabikia udini hadi matokeo yake ndio haya sasa wategemee laana maana hata hao wenye ndugu watataka kulipa kisasi kwa namna yoyote na hapo ndipo nchi hii haitakalika tena.
 
Habari za uhakika toka kwa ndugu wa mchugaji John Jackson aliyejeruhiwa ktk vurugu za kidini huko Mto wa Mbu,amefariki leo asubuhi ktk hospitali ya KCMC mjini Moshi. Alipelekwa KCMC wiki iliyopita toka ktk hospitali ya mkoa wa Arusha, Mount Meru Hospital baada ya ndugu zake kuona hali yake inazidi kuwa mbaya. Anatarajiwa kuzikwa kesho huko Same,mkoani Kilimanjaro.
<br />
<br />
TABIA YA UCHOCHEZI UJUE SIO NZURI. nakumbuka juzi humu jamvini kuna mhuni mmoja alisisitizi kwamba alikuwepo bugando wakati mwili wa mkuu wa mkoa shinyanga unahifadhiwa!, acheni kuleta habari za kuzusha. Na kama umezusha basi dmu ya mchungaji huyo ikulaani!
 
Nadhani ni vema tukafahamu pia nini kilitokea kikasababisha vurugu kabla ya kulaumu waislamu ili tuweze kujipanga vema ili siku za baaadae balaa kama hili likatokea. Kama magazeti yaliripoti ukweli walisema kuwa hawa jamaa waliitukana koran....kama ni kweli hapa pala la kujifunza. Kwanza siwaungi mkono wahubiri ambao wakiwa majukwaani badala ya kumtangaza "BWANA WETU YESU KRISTO' wa hushupalia kusimanga imani za watu wengine ikiwemo uislamu.....jamani ni kweli ndio agizo alilotuachia BWANA YESU KRISTO...INJILI NI NINI? NI KUSHAMBULIA DINI ZA WENGINE??? kwa maoni yangi si kweli...tusiache misingi ya imani.....kwa kufanya hayo hatuwasaidii tunaowahubiria bali tunatupa watu mbali zaidi....ni approach ya kishamba na isiyo na tija kutangaza HABARI NJEMA KWA KUTUKANA WENGINE
PILI.....kwa kusema haya simaanishi kuwa walistahili kufanyiwa furugu no lakini walijiweka katika hatari ya mashambulizi yasiyo ya lazima
TATU....Je ndugu zangu waislam kweli hakukuwa na njia mbadala ya kufanya baada ya hili tukio zaidi ya kufanyavurugu.....mna maan kuwa popote tukisikia mihadhara inayo tukana imani ya kikristo nasi tuchukue mapanga? patakalika kweli.....TAFAKARI
mix with yours

Tatizo ni Uislam kujipa haki zote hapa duniani na kujiweka juu ya imani zingine zote. Uislam unaamini quran ndicho kitabu pekee sahihi, Imani zote ni za kikafiri isipokuwa Uislam, Mungu anawaadhibu watu wote wasio waislam hapa duniani kwa kutumia mikono ya waislam na mwislam akiua kafiri (mtu asiyeamini uislam) hana hatia na akifa wakati wa shambulio anaenda peponi moja kwa moja. Kwa mtazamo huo hakuna namna yoyote unayoweza kumsaidia mwislam anayefuata mafundisho ya dini yake.

Hii ni dini iliyozaliwa na kuenezwa kwa vita na hadi leo ipo kwenye vita isiyoisha dhidi ya dini zingine na itaendelea kufanya hivyo hadi siku ya kiama. Ili kukidhi haja zao za kuua na kudhalilisha dini zingine wanajitafutia visababu vya uongo na ukweli, utasikia eti wamekashifu uislam, wamemtukana mtume, wameidharau quran nk nk. Kinyume chake wao wanafanya watakavyo juu ya imani zingine na hakuna wa kuwakemea.

Cha msingi hapa ni wewe pamoja na familia yako kujilinda kiimani dhidi ya hizi nguvu za giza. Kesheni na kuomba ili msitiwe majaribuni!
 
Mwenyezi Mungu amweke pema. Natumaini waliosababisha vurugu wanajulikana.

Bwana ametoa Bwana ametwaa. Jina la Bwana libarikiwe.
 
Inauma sana.tunaelekea kubaya. mambo ya Imani yanapaswa kuachwa kwa anaye aminiwa ndiye atoe hukumu. kwani imani karibia zote zinakiri udhaifu wa mwanadamu. hivyo anaye aminiwa ndo aachiwe jukumu la kuamua na si wanadamu.

Poleni wafiwa na taifa zima kwa ni msiba wa kitaifa....isipodhibitiwa habari hizi zitaenea kila kona ya nchi hii.
 
mlisema hivyo hivyo kuwa dr balele amefariki lakini kesho yake tunaambiwa he is alive and kickin'..hebu tusubiri taarifa ya habari ya usiku
 
Ww km hujui nn uislam shut ur mouth up ktk ulimwengu huu wakristo ndo wachokozi na uislam unakataza kuua au kujiua au huoni mulimchora mtume ktk ukatuni je mlitaka 2nyamaze nyinyi ktk nchi zenu munapitisha sheria munazotaka husikii SAUDIA,OMAN wala COMMORO kusema chochote lkn waislam wakitekeleza sheria za dini utasikia obama au cameron kasema hapa la msingi ni kudhibiti na kujichunga na mambo ya uchochezi
 
Nadhani ni vema tukafahamu pia nini kilitokea kikasababisha vurugu kabla ya kulaumu waislamu ili tuweze kujipanga vema ili siku za baaadae balaa kama hili likatokea. Kama magazeti yaliripoti ukweli walisema kuwa hawa jamaa waliitukana koran....kama ni kweli hapa pala la kujifunza. Kwanza siwaungi mkono wahubiri ambao wakiwa majukwaani badala ya kumtangaza "BWANA WETU YESU KRISTO' wa hushupalia kusimanga imani za watu wengine ikiwemo uislamu.....jamani ni kweli ndio agizo alilotuachia BWANA YESU KRISTO...INJILI NI NINI? NI KUSHAMBULIA DINI ZA WENGINE??? kwa maoni yangi si kweli...tusiache misingi ya imani.....kwa kufanya hayo hatuwasaidii tunaowahubiria bali tunatupa watu mbali zaidi....ni approach ya kishamba na isiyo na tija kutangaza HABARI NJEMA KWA KUTUKANA WENGINE
PILI.....kwa kusema haya simaanishi kuwa walistahili kufanyiwa furugu no lakini walijiweka katika hatari ya mashambulizi yasiyo ya lazima
TATU....Je ndugu zangu waislam kweli hakukuwa na njia mbadala ya kufanya baada ya hili tukio zaidi ya kufanyavurugu.....mna maan kuwa popote tukisikia mihadhara inayo tukana imani ya kikristo nasi tuchukue mapanga? patakalika kweli.....TAFAKARI
mix with yours
Mihadhara ya Manzese kila siku jioni umewahi kuisikia???
 
Back
Top Bottom