kbosho
JF-Expert Member
- Jun 4, 2012
- 13,029
- 6,559
Huyu ndiyo aliitwa mchungaji wa kitimoto hahahahahahaaaa!
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
upuuuz....
Huyu ndiyo aliitwa mchungaji wa kitimoto hahahahahahaaaa!
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Unamjua Desmond Tutu,au umezaliwa juzi. Rev alikuwa anafujo sana wakati wa makaburu. Uchungaji sio lazima uwe mnyonge.
policeccm wapumbavu wanatumika kama kondom
Wabunge wa cdm wasipoangalia wengi wao watapoteza uhai wao kwa kufanya mambo kwa kishabiki bila kufuata taratibu!
Au anamfahamu Rev. Jese Jackson wa Marekani au ndio wale wamezaliwa na kukuta pumpus zinatumika!
Unamjua Desmond Tutu,au umezaliwa juzi. Rev alikuwa anafujo sana wakati wa makaburu. Uchungaji sio lazima uwe mnyonge.
tatizo la polis ni kutumika kisiasa zaidi kuliko kulinda usalama wa raia na mali zao! Wabunge wa chadema ni watetezi wakweli wa wananchi!Wabunge wa cdm wasipoangalia wengi wao watapoteza uhai wao kwa kufanya mambo kwa kishabiki bila kufuata taratibu!
kwani wabunge sio wanasiasa?Episode 1 inaanza! Yaani hawa wabunge wapo kisiasa zaidi,
Mkuu hili eneo wanalotaka machinga linaitwa mashine tatu n barabara ya kuingia stendi kuu ya iringa...machinga wanataka barabara hii ifungwe kila jumapili ili wao wafanye biashara zao kwa kutandika bidhaa chini...,je hili ni sahihi kwako?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
kuvunja sheria ni kuwatetea wananchi? Kweli tanzania imefilisika kifikra!Wachungaji wapo kanisani leo kwenye ibada yeye anafanya maovu ya kuhatalisha amani kwa kuvunja sheria za nchi.
msigwa alipewa na nani uchungaji nisaidieni mnaojua kwa sababu mambo anayofanya ni ya ajabu sana.
hekima bila maarifa ni upumbavu
wapendwa wangu,heshima wakati mwingine inabidi uilazimshe tu,
siku moja ccm na wote waungao harakati zake watapiga saruti kwa M4C.
Ila nafurahi saana wakuza historia ya chadema na ukizingatia 2015 ndo mwisho wa ccm,
saana nawapongeza M4C team kwa kuwa na mawazo na mipango thabiti na hata kuto angaria wala sikia poroja za mabeberu wa ki tz,
MWISHO WA ENZI ZA CCM ZINAKUJA,POLISI AKILI ZAO ZITAGEUKA NA KUWAINAMIA WATAWALA WA M4C,
BIG UP CHADEMA NA WOTE WAUNGAO MKONO HARATI ZAO ZA UKOMBOZI WA KWELI