Mchungaji Peter Msigwa wa CHADEMA akamatwa na Jeshi la Polisi.

msigwa alipewa na nani uchungaji nisaidieni mnaojua kwa sababu mambo anayofanya ni ya ajabu sana.
Zipo taratibu za kikanisa hadi kumthibitisha,mtumishi wa Mungu,hadi kupewa nafasi hiyo ya uchungaji.

Sasa wewe ni nani hadi udispute uchungaji wa Msigwa?!

Au wewe upo kundi moja na yule mbunge wa magamba,aliyetamka bungeni,kuwa Msigwa ni mchungaji wa nguruwe?!
 
haya mandamano na vurugu pamoja na ni kwa mujibu wa ilani ya chama chama chao au ni matatizo ya mtu mmojammoja ndani ya chadema.

Unamjua Desmond Tutu,au umezaliwa juzi. Rev alikuwa anafujo sana wakati wa makaburu. Uchungaji sio lazima uwe mnyonge.
 
ccm ni kama a dying horse mateke yake ya mwisho mabaya sana cdm tuvumilie tuu 2015 sio mbali 2010 tuliwatoa wakang'ang'ania 2015 by either do or die wataondoka!
 
kama kwel mheshimiwa ana kosa achukuliwe sheria ila kama 2naenda kchama kisa yeye n kaki na wengine n kijani hapo ha2taelewana kwa kweli. Wananchi 2meshajielewa xanä2.
 
Kinga ya wabunge iliondolewa ama vipi, manake naona wabunge nao wanakamatwa kama wamachinga tu.
 
Wasije wakalipa kisasi cha katibu wao mkuu humohumo...ila uongozi wa CDM has to draw line hii mambo ya viongozi wao wanakamatwa na polisi na kuwafungulia mashitaka ya ajabu ajabu inabidi walikatae..
 
Anatafuta umaarufu kwa nguvu sana huyu mchungaji. Badala ya leo kuwa kanisani na kondoo wa bwana, yupo busy anahatarisha amani ya nchi.

Naona sasa ni wakati wa kuwawajibisha viongozi wa aina hii ili iwe fundisho na kwa wengine.

Mbusu ya mau'ulikuwa wapi siku zote au magamba yalikataa kukulipa
 
Unaposema kukaa,wewe umejuaje hawajawahi kaa,Msigwa mwenyewe aliliongelea Bungeni,tatizo lenu mkishakaa uko kwenye viyoyozi mnaona maisha mazuri kwa wote,unampeleka mtu porini akamuuzie nani,nyie dawa yenu inachemka
hekima bila maarifa ni upumbavu
 
kilingana na hali iliokuwepo nchini mpaka sasa si kwamba chadema wanafanya jambo baya.ila maoni endelevu na ya amani yakitolewa mezani yakapuuzwa hupitia njia za pembeni. na kama chadema wangelikuwa wanasikilizwa kama inavyo stahiki watanzania tungelikuwa mbali. NINACHOKIAMINI WABUNGE WA VYAMA PINZANI WAKIANZA KUSIKILIZWA WAKAKAA MEZA MOJA NA WANA CCM AMANI NA MAENDELEO VITAKUWA HALI YETU LAKINI KINYUME NA HAPO TUTAENDELEA KUWAONA VYAMA PINZANI NI WAOVU NA AMANI YA TAIFA HILI ITAKUWA UKINGONI KUTOWEKA.
 
Msigwa ni mhuni na mshari sana, hafai kuwa wa watu

Muhuni ni yupi kati ya Msigwa na Selikamba aliyetoa tusi adharani bungeni? Au kwa sababu allitoa kwa lugha ya kiingereza ndio mnaona anafaa! Shame on you!!!!!!!!
 
Kwanini mtaji wa popularitization kwa cdm ni vurugu? Watanzania shitukeni hiki sio chama cha maendeleo ila kurudisha nyuma taifa.[/QUOTE
taifa bado lipo nyuma sana kimaendeleo kwa sababu ya chama kilichopo madarakani kushindwa kutumia rasimali za nchi vizuri,hivyo tunahitaji chama mbadala na sio kuendelea kutawaliwa na chama kisicho na mwelekeo mzuri.
 
Taaarifa kutoka Iringa zinasema mbunge wa Jimbo la Iringa Peter Msigwa wa CHADEMA amekamatwa na jeshi la polisi muda huu na yuko chini ya Ulinzi wa jeshi hilo.

Mchungaji Msigwa amekamatwa kwa amri ya Kamanda wa Polisi wa mkoa huo Michael Kamuhanda kwa madai kwamba anawaunga mkono wafanyabiashara ndogondogo wa manispaa hiyo Machinga wanaopambana na polisi wanaowakataza kufanya biashara mjini.

Mchungaji Msigwa amekuwa mtetezi mkubwa wa wafanyabiashara ndogondogo kiasi kwamba kila anapoonekana maeneo ya manispaa hiyo hujikuta gari yake ikisukumwa na Machinga hao.

Itakumbukwa ni wiki iliyopita tu mbunge wa viti maalum Chadema Chiku Abwao alimshambulia vikali Waziri William Lukuvi kwamba analitumia jeshi la polisi Iringa kukandamiza Chadema na viongozi wake.

Mchungaji Msigwa ambaye pia ni mbunge machachari wiki iliyopita ametishiwa na Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana kufikishwa mahakamani kwamba amemtuhumu kufanya biashara haramu ya pembe za ndovu.

duuu mbona kama nuksi kwake?
 
Back
Top Bottom