kabila01
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 4,235
- 4,949
- Thread starter
- #21
Mmetumwa nyie. Wakati watu tunatafakari haya maumivu ya kumchagua Msigwa tutayavumilia hadi lini, nyie mnatuletea stori zisizoeleweka. Ni msanii tu hana jipya.
inaonekana ulikua mfanyakazi wa yule mama kwenye maduka yake ya mbolea, pole tafuta kazi nyingine R.I.P MM