Habari za Asubuhi.
Samahani, nilikuwa naomba kuuliza kama kuna mtu anamfahamu mchimbaji mzuri wa kisima cha maji (mpiga kazi + siyo laghai) kwa DSM. Dhumuni langu ni kwanza kufanya survery kujua water table iko urefu gani kwenda chini, kuchimba na kuweka pump.Asanteni.
Obonyo.
Samahani, nilikuwa naomba kuuliza kama kuna mtu anamfahamu mchimbaji mzuri wa kisima cha maji (mpiga kazi + siyo laghai) kwa DSM. Dhumuni langu ni kwanza kufanya survery kujua water table iko urefu gani kwenda chini, kuchimba na kuweka pump.Asanteni.
Obonyo.