benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,504
- 3,035
Mshambuliaji wa kimataifa wa Ghana Raphael Dwamena amedondoka leo hii ghafla uwanjani na kupoteza maisha, wakati timu take ya KF Egnatia ikicheza dhidi ya Albania ikiwa ni mchezo wa ligi kuu ya Partizan.
Mchezaji huyo mara baada ya kudondoka alipatiwa huduma ya kwanza uwanjani hapo na kukimbizwa hospital lakini ilishindikana kuokoa maisha yake na akapoteza maisha.
Dwanema mwenye miaka 28, alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa moyo ambao ndiyo chanzo cha kifo chake.
Chanzo:Kisamba Media
View: https://www.instagram.com/p/Czg2ce4KoyK/
Mchezaji huyo mara baada ya kudondoka alipatiwa huduma ya kwanza uwanjani hapo na kukimbizwa hospital lakini ilishindikana kuokoa maisha yake na akapoteza maisha.
Dwanema mwenye miaka 28, alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa moyo ambao ndiyo chanzo cha kifo chake.
Chanzo:Kisamba Media
View: https://www.instagram.com/p/Czg2ce4KoyK/