Precious Diamond
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 397
- 993
Mchengerwa anaongelea kushughulikia kerozipi kubwa wakati Mwenezi Makonda anakutana na watu kadha wa kadha wakiwa na kero lukuki mpaka zinaanzishwa kliniki za kusikiliza kero hizo?
Sekta zote zimevuliwa nguo na Mwenezi Makonda mpaka Mawaziri mnaonekana mifugo halafu unasema umefanya kazi kubwa toka uteuliwe? Kazi gani hiyo Mchengerwa?
Hatua kwa wala rushwa zinachukuliwa kwa vidagaa tu wakati wote wakati papa wanaachwa, sasa anajigamba kwa lipi? Ubadhirifu uliofanywa mwaka 2022, 2023 umeyeyuka umebaki tu ule uliofanywa kipindi cha Magufuli?
Sekta zote zimevuliwa nguo na Mwenezi Makonda mpaka Mawaziri mnaonekana mifugo halafu unasema umefanya kazi kubwa toka uteuliwe? Kazi gani hiyo Mchengerwa?
Hatua kwa wala rushwa zinachukuliwa kwa vidagaa tu wakati wote wakati papa wanaachwa, sasa anajigamba kwa lipi? Ubadhirifu uliofanywa mwaka 2022, 2023 umeyeyuka umebaki tu ule uliofanywa kipindi cha Magufuli?