Jestina
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,831
- 1,708
wakuu nina milioni kumi,najiuliza nifungue biashara sijui biashara gani hapa mtaniadvise au niweke msingi kny kiwanja changu kule kibaha tatizo nikiweka msingi sijui nitamaliza lini kujenga as sina uhakika/regular income na b, nikianza biashara ni biashara gani itakayonirudishia hela yangu ili niweze kujenga? msaada kny tutazzz.....:israel: