Ukosahih Sana umepiga kwenye mshono9 Chances .........0 goal
Lazima ujuwe hilo kwa vile timu yenu haimoTp mazembe wapo
Je kuna mchezaji wa Ihefu atapata namba Yanga? Kufungwa kuna mengi ndani yake"Hakuna mchezaji wa klabu ya Simba anayeweza kupata nafasi kwenye kikosi cha klabu ya Al Ahly (ya Misri) hakuna hata mmoja" Abdulghafal Ally,
Mchambuzi wa soka TBC FM
NB: Kwa pale uananchini Max, Yao, Bacca wanaweza kupata namba za kudumu pale Al Ahly.
Makolo mnabisha hapa?
Sema hayo maneno kayasema BAHASHA WAKO FULLSTOP"Hakuna mchezaji wa klabu ya Simba anayeweza kupata nafasi kwenye kikosi cha klabu ya Al Ahly (ya Misri) hakuna hata mmoja" Abdulghafal Ally,
Mchambuzi wa soka TBC FM
NB: Kwa pale uananchini Max, Yao, Bacca wanaweza kupata namba za kudumu pale Al Ahly.
Makolo mnabisha hapa?
View attachment 2784690
Mbona mshika kibendera hakunyoosha kibendera?Anasema aliotea