KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Mchaga mmoja alikuta mkewe anatafunwa na jamaa,baada yakukuta jamaa ana duu akaenda kutafuta panga aliporudi akakuta jamaa amesepa akawa ametahayuri akawa anakimbia hovyohovyo mara akakutana na mshikaji wake mambo yakawa hivi"Haisee Kimaro hujakutana na mtu ana mblo mbichi mbichi haisee??nimekuta jamaa anamkewangu sinikaenda kuchukua panga nimekuta kaondoka!!nisasahivi babangu!hata dakika haijapita lazima mblo itakuwa ni mbichimbichi"!