Mch. Lusekelo na siasa

wewe uliye tuma hii thread una akili kweli au unakurupuka tu......... unatumia kichwa chako kufikiri au kufugia nywele tu...... uliangalia kipindi chote au hadithiwa na mtu.......... tatizo watu wengi walio kama wewe hawapendi kufuatilia jambo kwa undani ila wanakurupuka tu..........yeye kaeleza wazi that hawa ccm wengi wao wana mawazo mgando...... as wanafananisha nyakati hizi na zile za 1980's....... wanawatia usugu wa tz kwa kutumia polisi in siasa badala ya kujibu hoja za siasa kwa kutumia hija nzito zaidi mwisho akasema ukweli that ccm kilisaidia kupigania uhuru wa Africa kipindi hicho kilikuwa kinaitwa TANU sa wewe unabisha nini au unakurupuka tu.............. jipange mjombaaaaaaa acha paparaaaaaaaaaa
 
Aliyeleta Uzi huu lazima awe mtu wa mizaha mibaya hasa (a real bad joker). Mods inabidi pia msiruhusu nyuzi zinazopindisha facts kuwemo humu. Basi angalau muweekeeni angalizo (NB) kuhusu kilichosemwa hasa na Mch. Lusekelo.
 
Mchungaji Antony Lusekelo kwenye kipindi chake cha chanel ten usiku huu, kasema CCM ni chama cha ukombozi. Ameonesha kujipendekeza sana kwenye chama hiki. Aidha amedai mvua za el nino zilizotabiriwa na mamlaka ya hali ya hewa hazitakuwepo, kwa mujibu wa maono yake.

Incomplete investigation... Poor, lazy mind and very short-sited thinking. Wewe umeangalia kwenye hicho kipindi au umesimuliwa?! Yaani uwezo wako wa kufikiri na kupambanua mambo ndo ukaishia kusema upuuzi huu? What kind of analysis is this? Damn big loophole... Your assertion can't even hold water tight! Acha unafiki wewe, huu ni uchochezi!

Nimesikiliza kipindi mwanzo mwisho! Na hayo madai yako sijui umeya-frame kutokana na nini.

Poor you! Hujachelewa, darasa la kwanza wanaanza kuandikisha January, Kuanza upya sio ujinga mjomba!
 
Kunawakati nishawahi kueleza kuwa kama huna hoja ya maana ni afadhali unyamaze mpaka utakapopata kitu cha maana ndiyo uwasilishe. Mimi binafsi sina kadi ya chama chochote hivyo silazimiki kupepesa macho na kujaribu kutetea chama chochote, siamini kuwa ccm ni kibaya kiasi hicho, ccm sio mashine ccm inaongozwa na watu ambao watu hao wako ndani ya jamii tunayoishi, siamini na sitalazimishwa kuamini kuwa vyama vingine vina jipya zaidi ya ccm, ingekuwa nchi inaongozwa kwa mashine na kuwa vyama hivyo vinamashine zenye ziada ya kiufundi kuliko ccm ningeelewa, sioni jipya kwenye nchi za Africa zaidi ya wanasiasa kutafuta mbinu za kuwahadaa wananchi ili kupewa ridhaa ya kuongoza dola. sio siri ccm imefanya mengi tena makubwa, ni aibu kwa watu, au wanasiasa kujaribu kutamka kuwa hakuna lolote ccm imefanya, hizi ni chuki na niabu ya wazi kwa watoa hoja. Sioni kosa la Lusekelo kutetea chama chenye historia, Vyama vingine vyote hivi hata ofisi ni utata pamoja na kupewa mafungu makubwa ya kuendesha vyama. Sioni jipya. Kwa mimi itanichukuwa muda mrefu sana kuharibiwa ufahamu wangu kuwa ccm inatatizo kubwa, ni kweli kuna mambo ya kurekebisha ila kwa sasa hakuna kama ccm.

hapo bold ndipo ulipoharibu zaid.Huna chama lakini andiko lako linaonesha una chama.Kama huoni tatizo kwa CCM huna ndugu walioko vijijini.Hata baba yako naweza kuambiwa hajafanya lolote katika uhai wake lakini kubwa analoweza kuambiwa kafanya ni kuwa amekuzaa wewe.Hatumaanishi kuwa kutokufanya la maana basi hakuna kunachoonekana.Kuwa msomaji zaidi badala ya kutoa hoja za kujikanganyanya mwenyewe.
 
Analinda maisha yake kwakuwa anajua Chama cha mabwepande kina allegy nao na tena anaifahamu orodha ya wahanga wote, Uli + mwa - kyembe; ndosya; ngosi, ikusa. WHO IS NEXT?!

Haä! Haaa! Mkuu umesahau Nyaulawa.
 
Back
Top Bottom