MWANAMTAA
Member
- Sep 15, 2012
- 42
- 2
wewe uliye tuma hii thread una akili kweli au unakurupuka tu......... unatumia kichwa chako kufikiri au kufugia nywele tu...... uliangalia kipindi chote au hadithiwa na mtu.......... tatizo watu wengi walio kama wewe hawapendi kufuatilia jambo kwa undani ila wanakurupuka tu..........yeye kaeleza wazi that hawa ccm wengi wao wana mawazo mgando...... as wanafananisha nyakati hizi na zile za 1980's....... wanawatia usugu wa tz kwa kutumia polisi in siasa badala ya kujibu hoja za siasa kwa kutumia hija nzito zaidi mwisho akasema ukweli that ccm kilisaidia kupigania uhuru wa Africa kipindi hicho kilikuwa kinaitwa TANU sa wewe unabisha nini au unakurupuka tu.............. jipange mjombaaaaaaa acha paparaaaaaaaaaa