Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,599
Mch Fernandez wa Agape Ministries kupitia ATN anasema mambo yanayoendelea hapa Tanzania hasa wezi unaofanywa na wawekezaji inatokana na dhambi aliyoifanya Nyerere ya kutaifisha mali za wahindi na watu wengine miaka iliyopita. anasema walichukua mali za watu bila bila ridhaa yao na bila ya kuvuja jasho, ndio maana laana ya alichofanya nyerere ndiyo inayorudi sasa kwa watu kuja kuiba raslimali zetu.
anaunganisha na maneno ya kwenye bible kuwa kama mkuu mmoja wa familia akifanya kosa, laana hiyo inaweza kusambaa na kuwafuata wazaliwa wa mbeleni.
Source ni ATN live boadcasting!
anaunganisha na maneno ya kwenye bible kuwa kama mkuu mmoja wa familia akifanya kosa, laana hiyo inaweza kusambaa na kuwafuata wazaliwa wa mbeleni.
Source ni ATN live boadcasting!