I had the very similar opinions.
Umaskini tunaoupata nchini ni laana juu ya ukwapuaji wa mali za watu. Alichokifanya Nyerere ni wizi tu. Huwezi kuchukua mali za watu kwa dhulma halafu utegemee neema.
Mchungaji umenena kweli na kwa hili mimi nakuunga mkoni 100%. Utaacha nihamie kwenye channel station yako.
Kikwebo.
Jmushi.
99% viwanda vya Tanzania ni vya wahindi...
kama idadi hiyo ingekuwa ni wazungu tanzania ingekuwa pepo.
viwanda vya wahindi vina ajiri asilimia kubwa ya watanzania wa kima cha chini, lakini malipo wanayo lipwa ni aibu kubwa, na unyanyasaji wanofanyiwa ni wakutisha. Wanaolipwa mishahara mikubwa ni ndugu zao wanao toka bombai na bangaloo moja kwa moja, hata hawana ujuzi wa kazi wanazokuja kufanya lakini wanapewa ubosi.
ni wahindi wachache sana ambao wamejenga nyumba za kuishi kwenye makazi ya watu wengine, wao wanangangania tu kukaa kwenye nyumba za national housing kodi wanalipa sh 7000 kwa mwezi. hawa watu hawana maendeleo yeyote kwa nchi hii.
katiak orodha ya walipa kodi wakubwa 20 katika mchi hii sijui kuna wahindi wangapi
I had the very similar opinions.
Umaskini tunaoupata nchini ni laana juu ya ukwapuaji wa mali za watu. Alichokifanya Nyerere ni wizi tu. Huwezi kuchukua mali za watu kwa dhulma halafu utegemee neema.
Mchungaji umenena kweli na kwa hili mimi nakuunga mkoni 100%. Utaacha nihamie kwenye channel station yako.
Kikwebo.
kama idadi hiyo ingekuwa ni wazungu tanzania ingekuwa pepo.
viwanda vya wahindi vina ajiri asilimia kubwa ya watanzania wa kima cha chini, lakini malipo wanayo lipwa ni aibu kubwa, na unyanyasaji wanofanyiwa ni wakutisha. Wanaolipwa mishahara mikubwa ni ndugu zao wanao toka bombai na bangaloo moja kwa moja, hata hawana ujuzi wa kazi wanazokuja kufanya lakini wanapewa ubosi.
ni wahindi wachache sana ambao wamejenga nyumba za kuishi kwenye makazi ya watu wengine, wao wanangangania tu kukaa kwenye nyumba za national housing kodi wanalipa sh 7000 kwa mwezi. hawa watu hawana maendeleo yeyote kwa nchi hii.
katiak orodha ya walipa kodi wakubwa 20 katika mchi hii sijui kuna wahindi wangapi
Hivi umezaliwa mwaka gani wewe?I had the very similar opinions.
Umaskini tunaoupata nchini ni laana juu ya ukwapuaji wa mali za watu. Alichokifanya Nyerere ni wizi tu. Huwezi kuchukua mali za watu kwa dhulma halafu utegemee neema.
Mchungaji umenena kweli na kwa hili mimi nakuunga mkoni 100%. Utaacha nihamie kwenye channel station yako.
Kikwebo.
Hivi wale wahindi wanaokabiliwa na kesi za EPA na tuhuma za RADA wamezipata fedha hizo kwa umahiri kweli!Si kweli kama walizipata kwa kuiba. Wahindi wanajulikana kwa utafutaji wao na umahiri katika kufanya biashara.
Hivi wale wahindi wanaokabiliwa na kesi za EPA na tuhuma za RADA wamezipata fedha hizo kwa umahiri kweli![/QUOuTE]
Usichanganye madda. Hapa tunazungumzia habari za utaifishwaji wa rasilimali za watu chini ya azimio la arusha. EPA ilikuwa haijulikani. After all..issue ya EPA wako ndugu zetu kibao tu..je ni stahiki kutaifisha mali za watu weusi kama kina Mengi leo kisa kulikuwa na Rajab Maranda, Husein Farijala..n.k.
Nyerere alichofanya ni dhulma na dua ya mwenye kudhulumiwa inafanya kazi yake..wacha Tanzania iendelee kuwa shama la bibi.
I had the very similar opinions.
Umaskini tunaoupata nchini ni laana juu ya ukwapuaji wa mali za watu. Alichokifanya Nyerere ni wizi tu. Huwezi kuchukua mali za watu kwa dhulma halafu utegemee neema.
Mchungaji umenena kweli na kwa hili mimi nakuunga mkoni 100%. Utaacha nihamie kwenye channel station yako.
Kikwebo.
umedanganya mambo kadhaa hapa. ATN ni free ila ana decoder anauza. Pili ni wapi imeandikwa hairuhusiwi mchungaji kufanya biashara halali? Unless ukionesha uharamu wa biashara yake post yako haina mashiko!Huyo jamaa ni msanii mbona anajidai ni mchungaji lakini sasa amefungua kapuni ya Agape Associate ianjishugulisha na mabo mengi sana ya kibiashara.
sasa TV yake ya Agape ni mpaka ulipie TIN ndio unapata matangazo,na tukumbuka katika mkutano wa Mh Pinda na waekezaji wa Sumbawanga na maeneo ya kusini alialikwa kama mmoja wa wafanya biashara wakubwa.sasa yeey anausafi gani mpaka amseme Nyerere?
sasa hivi tunapata faida gani kwa mali wanazomiliki wahidi? kama wahindi kuachiwa mali zote za nchi ndio kigezo cha sisi kuwa na mafanikio??
imekuuma yeye kuwa yote hayo? Khaa, yaani unaongea pumba hata aibu huoni?Waswahili husema ukimzoea sana Mbwa atakufuata hadi msikitini! Huyu Mhindi amefika hatua ya kuwa analyst wa siasa zetu sasa! Yaani keshawanyonya waumini wake maskini hajatosheka, kajifanya mtume na nabii hatujasema, mkewe ndo mchungaji kiongozi hatujasema, kabadilika kutoka uhubiri mpaka uwekezaji hatujasema sasa anaanza kupekuwa siasa zetu! Shame on him. Anatutafuta I promise him atatupata tu.
Waswahili husema ukimzoea sana Mbwa atakufuata hadi msikitini! Huyu Mhindi amefika hatua ya kuwa analyst wa siasa zetu sasa! Yaani keshawanyonya waumini wake maskini hajatosheka, kajifanya mtume na nabii hatujasema, mkewe ndo mchungaji kiongozi hatujasema, kabadilika kutoka uhubiri mpaka uwekezaji hatujasema sasa anaanza kupekuwa siasa zetu! Shame on him. Anatutafuta I promise him atatupata tu.