Ochumeraa
JF-Expert Member
- May 18, 2015
- 4,504
- 5,707
Nadhan achukue huu ushauriMkubwa edit Uzi wako badala ya Samataa weka lukaku
Nadhan achukue huu ushauriMkubwa edit Uzi wako badala ya Samataa weka lukaku
Hujui soccer mzee bora ufanye analysis za taarabu tu mkuu.Tofauti ya Lukaku na Samatta ni kwamba, Lukaku anafunga magoli mazuri na ya kiufundi na pia anakosa magol magoli mepesi...Samatta yeye anafunga magoli mepesi yasiyo na ufundi
angeingia kwenye websites kubwa za ulaya aone jinsi goal la kwanza lilivyosifiwa bonge la VOLLEY eti samatta hana ufundiHujui soccer mzee bora ufanye analysis za taarabu tu mkuu.
Haina haja ya kufuta kwa sababu huu uzi ndio utakaomsafisha SamataModerator tafadhali futa hii thread kwa heshima ya samatta na Taifa kwa ujumla
Wewe mwenye uwezo kuliko yeye uko wapi?? Jf unaandika nyuzi.. Mwezio yuko Genk anafunga magoli na mshahara wa zaidi ya Euro 50,000.. Hakuna bahati kwenye soka he is that good ndio maana anachez soka ulaya....
MTU anayemponda Samatta ukimwambia yeye acheze utafikiri unaangalia futuhi. Wabongo tuna tabia ya kuponda na kuwa na negative mindset. Ndo maana Mimi hata biashara ya urafiki nilishaikataa muda sana. Naona unafiki tu.
Roho mbaya,husda,chuki na wivu ndo vijana wengi wa Tanzania tunajua.Kwanza wakati anahangaika mwenyewe hakuna hata aliyemsaidia leo kawa maarufu basi kila mtu anajidai kumkosoa huo ndo unafiki mim siupendi.
Dogo sikia, kuvaa jezi namba 10 haimaanishi chochote, anybody can wear it. Hata kama wewe unataka sema tu nikupe ya taifa Stars.
Hakika hapa nimeamini kuna watu hawajui soka. Sasa anza kufuatilia jezi namba 10 huvaliwa na watu gani kwenye timu
Wewe ndo unapaswa uwe na hoja za msingi. By the way Samatta alistruggle mwenyewe mpaka hapo alipofikia,wewe ulimsaidia nini? Au ndo ule umbea na kutafuta kiki za kipuuzi ili uonekane unajua kuchambua soka? Kama wewe unajua mpira kuzidi Samatta kaombe namba kikosin tukuone uwezo wako. Sio unatuletea unafiki wako hapa.Hivi kwanini wabongo mnapoambiwa ukweli hufukuzia kulalamikia chuki, choyo sijui. mnastaajabisha kabisa. Leteni hoja za msingi.
Kama sio mchezaji yeye ni nani? Au ni kishabiki maandazi?Acheze yeye kwani yeye ni mchezaji ?
ID yako tuTushapitiliza huo umri ila tulikuwa na ujuzi zaidi yake enzi zetu, sema tu that time mpira kwa hapa Bongo ulikuwa haulipi, tulicheza kimapenzi tu.
Wewe usiyebebwa na bahati nenda kaombe namba kikosini basi tukuone ujuaji wako makelele jf ya nini?Ukweli unabaki palepale....jamaa anabebwa na bahati ila mguuni wa kawaida sana!
Kwa hiyo ukiwa kocha wa genk unamuweka bench? Unamnunua yule straiker wa yanga mnaye mhusudu,,Ukweli unabaki palepale....jamaa anabebwa na bahati ila mguuni wa kawaida sana!
Labda utuambie Bahati maana yake nini? Tuanzie hapo.Bahati ipo kila sehemu mkuu usipinge hilo.