Paka na Mbwa wanapiga story
Paka: binadam wanatudharau sana! wanyama wengine woote wanaowafuga wana wala isipokuwa sisi tu!!
Mbwa:kauli hiyo ongelea huku huku dar sio Iringa
MZEE(babake binti):"Umekuja kutoa posa kwa binti yangu na unatafuna gum!,huko ni kukosa heshima"
Zuberi:"Mzee,mi hutafuna gum
wakati nimelewa ama nimevuta sigara pekee" MZEE:"Wamaanisha we hulewa na kuvuta sigara!! Na umekuja kutoa posa kwa binti yangu?"
Zuberi:"Mzee mi hulewa na kuvuta sigari wakati nimeenda club pekee" MZEE:"Unaenda club pia!!....salalaa..!
Zuberi:"Samahani nilianza kuenda club nilipotoka jela" MZEE:"Tobaa!! mpaka jela ushawahi enda!"
Zuberi:"Nilienda jela baada ya kuuwa mtu" MZEE:"Duh,kwa hivyo wewe ni muuwaji!"
Zuberi:"Nilikuwa na hasira nyingi,ni mzee mmoja alikataa nimuoe binti yake" MZEE:"Aaah,karibu sana bwanamdogo,we ndio mwanamme anaefaa kumuowa binti yangu"
MZEE(babake binti):"Umekuja kutoa posa kwa binti yangu na unatafuna gum!,huko ni kukosa heshima"
Zuberi:"Mzee,mi hutafuna gum
wakati nimelewa ama nimevuta sigara pekee" MZEE:"Wamaanisha we hulewa na kuvuta sigara!! Na umekuja kutoa posa kwa binti yangu?"
Zuberi:"Mzee mi hulewa na kuvuta sigari wakati nimeenda club pekee" MZEE:"Unaenda club pia!!....salalaa..!
Zuberi:"Samahani nilianza kuenda club nilipotoka jela" MZEE:"Tobaa!! mpaka jela ushawahi enda!"
Zuberi:"Nilienda jela baada ya kuuwa mtu" MZEE:"Duh,kwa hivyo wewe ni muuwaji!"
Zuberi:"Nilikuwa na hasira nyingi,ni mzee mmoja alikataa nimuoe binti yake" MZEE:"Aaah,karibu sana bwanamdogo,we ndio mwanamme anaefaa kumuowa binti yangu"
Na mimi lazima nitumie ujanja huo