Wanyama wanaotumiwa sana na wachawi

Joyboy

JF-Expert Member
Sep 16, 2023
1,360
3,400
Mi napenda sana mbwa, mbwa ni rafiki wa binadamu, mbwa ni wanyama poa sana, wanapenda sana kuwa na uhusiano wa karibu na binadamu, mbwa ana hisi hatari mapema sana na anaweza kukusaidia kweny ulinzi.

Wanyama wengine kama paka ni jau, unaweza dhani unafuga paka kumbe unafuga mtu.

Hivi kwann paka anahusishwa sana na mambo ya uchawi, vilevile watu wengi wanapenda kumtumia kweny mambo ya ushirikina?
 
mbwa ni wanyama poa sana,
20230322_121857.jpg
 
Ni Imani tu

Paka na Mbwa wote wanaona mpaka infrared radiation.

Wakati sisi tupo kwenye visible light
Ila kusema paka anatumika na sio mbwa ni uongo.

Vipi fisi, Mamba atumike ila mbwa ashindikanike?

Ni Imani iliyojengwa kupitia hekaya za wahenga na hakuna uhalisia.

Paka ni kiumbe Bora na safi
Ndio enzi za kale mabaharia waliwatumia
Kuwaweka ndani ya Meli ikiwa ni ishara ya Ulinzi
 
Ni Imani tu

Paka na Mbwa wote wanaona mpaka infrared radiation.

Wakati sisi tupo kwenye visible light
Ila kusema paka anatumika na sio mbwa ni uongo.

Vipi fisi, Mamba atumike ila mbwa ashindikanike?

Ni Imani iliyojengwa kupitia hekaya za wahenga na hakuna uhalisia.

Paka ni kiumbe Bora na safi
Ndio enzi za kale mabaharia waliwatumia
Kuwaweka ndani ya Meli ikiwa ni ishara ya Ulinzi
Nakazia
 
Ni Imani tu

Paka na Mbwa wote wanaona mpaka infrared radiation.

Wakati sisi tupo kwenye visible light
Ila kusema paka anatumika na sio mbwa ni uongo.

Vipi fisi, Mamba atumike ila mbwa ashindikanike?

Ni Imani iliyojengwa kupitia hekaya za wahenga na hakuna uhalisia.

Paka ni kiumbe Bora na safi
Ndio enzi za kale mabaharia waliwatumia
Kuwaweka ndani ya Meli ikiwa ni ishara ya Ulinzi
science na uchawi nivitu viwili ambavyo vinakinzana na havijawi kwenda sambamba ingawa vyote kiuhalisia vipo vinatendwa na wahusika nakuleta + au - effects, watu wengi wanakataa uchawi haupo kwakua unahusisha usiri mkubwa na haufundishwi waziwazi kama ilivyo kwa science mashuleni..,..natamani nikufafanulie vzur uelewe ila nimechoka kuandika nahisi njaa ila usiwe mbishi uchawi upo nanikweli paka,bundi,popo,fisi na mamba wanatumika sana nawachawi, tena kwa paka mimi naushahidi wakusikia kwa masikio yangu akiongea neno "naomba" zaidi ya mara 3 nje ya dirisha la chumba changu yaani alikua alia "myau,myauu,mwyauu" kwa tone yakunung'unika sana alafu anamalizia na kusema " naomba,naomba" hata sijui alikuwa ananitaka nini
 
mimi naushahidi wakusikia kwa masikio yangu akiongea neno "naomba" zaidi ya mara 3 nje ya dirisha la chumba changu yaani alikua alia "myau,myauu,mwyauu" kwa tone yakunung'unika sana alafu anamalizia na kusema " naomba,naomba" hata sijui alikuwa ananitaka nini
Jirani yangu alimkuta paka kabatini, akaenda kuchukua fimbo nje ili arudi amtandike, alipotoka alifunga mlango, aliporudi na fimbo hakumkuta paka ndani, akamwamsha mkewe na kijana wao wasaidiane wakamtafuta for hours hakuonekana haijulikani aliingilia na kutokea wapi nyumba yote ina ceiling na madirisha ya vioo
 
science na uchawi nivitu viwili ambavyo vinakinzana na havijawi kwenda sambamba ingawa vyote kiuhalisia vipo vinatendwa na wahusika nakuleta + au - effects, watu wengi wanakataa uchawi haupo kwakua unahusisha usiri mkubwa na haufundishwi waziwazi kama ilivyo kwa science mashuleni..,..natamani nikufafanulie vzur uelewe ila nimechoka kuandika nahisi njaa ila usiwe mbishi uchawi upo nanikweli paka,bundi,popo,fisi na mamba wanatumika sana nawachawi, tena kwa paka mimi naushahidi wakusikia kwa masikio yangu akiongea neno "naomba" zaidi ya mara 3 nje ya dirisha la chumba changu yaani alikua alia "myau,myauu,mwyauu" kwa tone yakunung'unika sana alafu anamalizia na kusema " naomba,naomba" hata sijui alikuwa ananitaka nini
Acha kuvuta bange usiku hayo ndio madhara yake.

Bangi inasababisha hallucinations hivyo kusikia au kuona vitu ambavyo hakuna.

Hata hapa umetoa majibu ya mada iliyo nje kabisa na nilicho jadili.

Nilichohoji nini kinachosababisha paka atumiwe zaidi wakati mbwa na paka wapo kwenye daraja Moja?

Nikahoji tena kama wanyama kama fisi na mamba wanatumika! Nini kinachomzuia mbwa.

Halafu una ushahidi usio na shaka, nje ya kuamini kwenye hadithi za wahenga?
 
Fisi ndy hatari Zaidi kwa UCHAWI..

Fisi anatumika kwa operation ya ardhini kama ikitokea ungo umeleta hitilafu.
IMG-20231106-WA0073.jpg
 
Back
Top Bottom